Hahahahahaha hawa wanawake nadhani mwalimu wao ni mmoja..mie yupo mmoja alinkopesha elf 50..ulpokua unatpkea ktoelewana kidogo alikua anakimbilia kusema"Nipe hela yangu nilokupa". $hikamoo wanawake.
Hahahaha nmecheka mpaka kifua kinauma. Kwa hiyo mkuu ulivyofuatilia siku nyingine baiskeli na mayai ikawaje???....na manka mwsho wenu ilikua upi??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Dada mmoja nlimpenda Sana tena sana . Akawa ananambia kwa anavyonipenda Mimi ni Wa pili akitoka mama yake (coz aliishi na mama yake baba ake alifariki kitambo) . Sa Siku moja nikatia tongozo ili nijilithishe kuwa ananpenda lakn alchonijibu alinambia kuwa "UKO KWENYE FOLENI". Nikamuuliza...
Aiseee mwenyewee nakutana na changamoto zinazofanana Kama zako....au yule nnayemuona mi wife material nakuta achakuaoccupied tayari...du n hatar xnaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.