Wakaka mna nini lakini?

Wakaka mna nini lakini?

Hela ya mwanamke ntakula sana tu wima bila kunawa, mwanzo mwisho, tena wakati wa mapenzi moto moto! ndiyo kabisaaa! shikilia hapohapo! !!! wana JF waoga sana nyie! hamfai hata kwenye uwanja wa mapambano! eti atakudai??? akadai salama! huko anakojua na simuwachi kama ni mtamu!

Nikipata hela ya matumizi nampa nikikosa na yeye ana kosa, akiamua kusepa kwa sababu nimekosa ni yeye, hainihusu! atajua lkn siyo kwa ridhaa yangu! Vijana mnaogopa kitu kidooogo kisicho na meno ya kung'ata?

Police hakupeleki, hata akikupeleka kubali kuwa ulichukua na yeye alichukua zako! ngoma draw! wote humu ndani siyo wapiganaji wa mapenzi! ataamua yeye kubaki au kusepa!
 
Kunywa soda ntakulpia kwanza inaonyesha you are nt desperate walio hvyo ungekuta anampa ili amuoe tupa kula marioo wakaleleww na bb zao
 
Dah wanaume tunavumiliaga mengi
 
lakini mtu anapomchukulia mwenzake aliyemsaidia kama kitega uchumi, kwa kweli, kwanza inasikitisha lakini pili itakufanya upoteze trust kwa mtu. Hii ni kwa ke na me.
Neno msaada kwenye mapenzi halipo! nini maana ya mwili mmoja?! hutaki kuwajibika, kaa mwenyewe mpenzi wa nini? si huwa unapata raha? unasuzika moyo wakati mshedede unapopenya? unapomkoga na kumlingishia mtalaka wako si unaonaga raha?

raha/starehe ni gharama unasikia dada! Hata ukitumia maji ya uvuguvugu kuondoa genye utatumia umeme kuyachemsha, ukitumia, ndizi tango utalilima Bustanini au kununua, tayari gharama ziko palepale!

Chagua sasa ufunge domo uishi na mwanaume upate faida maradufu, km utamu, vitoto shule, company, nyumba, chakula nk, au matunda na maji upate faida kiduchu! vitoto hupati, na mengineyo utawajibika weye mwenyewe! mpaka utakapo jiuliza ulikosea wapi tayari uko kwenye menopause km jacky.
 
Na sisi tungekua tunamind hela za tuma na yakutolea msinge Olewa nyie kenge
 
Aiseee sure kabisaa mwanangu Rikiboy mzee wa uzi pendwa japo ya huyu dada iko tofauti lakin akina dada wengi akikusaidia kitu ataongea kana kwamba hastahili kukusaidia ila ww ndo wa kumsaidia kila siku kuna bint mmoja niliwahi fahamiana nae kwenye daladala basi mara nyingi tukawa tunarud wote mitaa ya home tukitokea makazin jion japo tunafanya kaz sehem tofaut bas tukawa tunakutana kituo flan tunapanda gar kurud home wote mara zote hizo mm nkawa nalipa nauli tu na sikuzingine daladala zikizingua nachukua bajaji nalipa sasa kuna siku moja niko busy na simu konda anataka chake nkamwambia dada lipa nauli ya watu wawili duuuhh akalipa ila aliongea safar nzima et oooohhh siamin yaan leo nimemlipia nauli mwanaumeeeee!!! Keshasahau mm nimemlipia mara kibao tena sikuzingine daladala hakuna nachukua bajaji nalipa nauli kubwa zaid hawa viumbe banaaaa
Achaa tu mkuu...!! Wanakwazaa sanaa
 
Aisee, nadhani hii umeona the other side wanaume tunavyokasirika na ku lose interest na wenza wetu kwa sababu ya vibomu!
 
wanawake mngekuwa mnabeba majukumu yanayohusu pesa moja kwa moja sijui dunia ingekuwaje? ingekuwa ni masimango mpaka basi
 
Hahahahahaha hawa wanawake nadhani mwalimu wao ni mmoja..mie yupo mmoja alinkopesha elf 50..ulpokua unatpkea ktoelewana kidogo alikua anakimbilia kusema"Nipe hela yangu nilokupa". $hikamoo wanawake.
 
Back
Top Bottom