Utasikia anamuuliza kwa hiyo atapata lini tena.Mnyime mwambie huna alafu angalia chemistry yenu itashuka au mtabaki Kama kawaida hao wanahisigi sisi tusio watia dushe ni mazumbukuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika kipindi hiki covid 19 ukitaka kumpoteza rafiki basi mkopeshe tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahahaaa!!! LolSasa laki moja nayo yakumkopesha rafiki mnaopendana? si umsaidie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyime mwambie huna alafu angalia chemistry yenu itashuka au mtabaki Kama kawaida hao wanahisigi sisi tusio watia dushe ni mazumbukuku
Sent using Jamii Forums mobile app
Utasikia anamuuliza kwa hiyo atapata lini tena.
Duuh! Hivyo kumkopesha umeshindwa mpaka tuje tukushauri. Lol.
We kama huna mwambie tu huna.
Duuh!!
Acha ufala bwana mdogo. Umsaidie sio umkopeshe.Ni wajinga sana kumkopa.Hawarudushi ni kutafuta lawama tu.
Siwezi kumkopesha msichana hela,kama kaomba nyingi sitampa ila zikiwa kidogo nampa.
Kuna fala alilia akiomba nimkopeshe nikamuuliza utanilipaje wakati huna shughuli yoyote,kajiumauma kumbe ananitegea na nyama yake nyekundu!!!Nikasepa kimoja.
Usiwe boya wewe, kwa hiyo hela unaweza piga manzi 3 za nguvu!!!
TUSIPOTOSHANE!!!Za kuambiwa changanya na zako.
Tahadhari,Corona inauwa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app