Jina lina athari fulani kwa mhusika
Ikiwa jina linabeba maana nzuri na ya kupendeza,basi hakuna neno kutumika
Ila watu wengi sana,wanatumia majina,bila kujua maana na makusudio
Hili si jema
Hakuna ubaya kutumia majina ya asili,ikiwa ni mazuri kimaana,kadhalika majina ya kigeni
Huwezi kutenganisha upendo na heshima
Upendo na Heshima kwa Mama ni Maalum
Kadhalika Mke,anastahili Upendo na Heshima kama Mke
Ila
Upendo wa Mama na Heshima upo Juu zaidi
Mama ni sawa na Jua katika Dunia
Na Mke ni sawa na Mwezi
Hakuna kama Mama
Ni wake wangapi wanawatelekeza waume zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.