Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Nimeishia hapo "mpende mke wako kuliko mama yako" ..... utakuwa umerogwa wewe sio bure
Jiongopee tu halafu usitafte hela uone kama hayo unayosema ni mepesi.





Ofcourse sio kwangu tu ni kwa kila mtu ndio maana Pesa ina matter zaidi.MKUU KWA HIYO KWAKO GUMU NI KUTAFUTA PESA?
Anajikuta Angelo 🤣🤣🤣Nimeishia hapo "mpende mke wako kuliko mama yako" ..... utakuwa umerogwa wewe sio bure
HahahahaAnajikuta Angelo![]()
Nimeishia hapo "mpende mke wako kuliko mama yako" ..... utakuwa umerogwa wewe sio bure
Mwache aendelee kuangalia marichui halafu azilete in real world.





marichui.. hahhhahhhahhaaKwa bahati mbaya bado hawawezi kupata same treatment maana ile treatment nyingine ataipata kwa baba yako!! Kwahyo mizani za hawa watu haziwezi kulingana kamwe lazma kuna sehemu utaegamia kidgo tuwote wamuhimu...MAMA alinileta duniani kupitia yeye niliiona DUNIA ...mke atanilea mpaka nakufa..nitakapokua siwezi ataniosha,atanilisha,atanifanyia yote aliyonifanyia mama nikiwa mdogo.
SIONI yeyote kati ya hawa wawili wakumpendelea..wanahitaji same treatment tena in Pro Level...
NOTE:
namuongelea yule mke alietoka kwa MUNGU na si yule mwingine...MAMA ni mmoja.
miss umefikiria mbali wewe duuu🙌Kwa bahati mbaya bado hawawezi kupata same treatment maana ile treatment nyingine ataipata kwa baba yako!! Kwahyo mizani za hawa watu haziwezi kulingana kamwe lazma kuna sehemu utaegamia kidgo tu
Nimeishia hapo "mpende mke wako kuliko mama yako" ..... utakuwa umerogwa wewe sio bure
MKE na MAMA ni sawa huwezi mpendelea mmoja hata siku 1..Unaposema ni wanawake wangapi wanaacha waume zao inatakiwa useme pia Ni wamama wangapi hutesa watoto wao wa kuwazaa tena kwa mateso ambayo hata ALSHABAAB wanaweza wasikufanyishe?Huwezi kutenganisha upendo na heshima
Upendo na Heshima kwa Mama ni Maalum
Kadhalika Mke,anastahili Upendo na Heshima kama Mke
Ila
Upendo wa Mama na Heshima upo Juu zaidi
Mama ni sawa na Jua katika Dunia
Na Mke ni sawa na Mwezi
Hakuna kama Mama
Ni wake wangapi wanawatelekeza waume zao!!!!
Ijapokuwa yupo Mke aliechaguliwa na Mola
Ila huyu pia,atakurudisha katika kumpenda na kumuheshima Mama yako
TAHADHARI
Usichanganye Maziwa na Tuwi la Nazi
Shukran Bro
Mkuu usilazimoshe kila mtu awe na mawazo kama yako..Ukikua utaelewa mtoa mada anazungumzia nini. Utajua nini maana ya famili. Pia utajua nini maana ya mke.
Then utajua nini maana ya Kampani hili utalijua miaka ya 45+