Recent content by bigbuhama

  1. B

    Padre Mapunda: Dk Slaa mwiba unaowatesa wanasiasa wengine

    Mngekuwa hamuendekezi njaa na kuhongwa kirahisi maneno yako ningeyaamini
  2. B

    Msaada: Nifanyeje niache uzinzi?

    Well said!! umemaliza na umewagusa wengi
  3. B

    Umetoka job ukawakuta madogo wapo hivi utawafanya nini?

    Ninapitiliza kwenda chumbani kulala nikiamka hasira zimekwisha
  4. B

    Nimfanye nini huyu Mdada wa kazi?

    Kwahiyo umefurahishwa na hayo matusi Anita aliyoandika ?Mtu aliyekulelea watoto wako wawili umtusi kuwa uchi wake unanuka!!! halafu unaenda kazini unamuachia watoto? nakuapia kilichotokea uganda ni cha mtoto!! Tatizo ni wewe kushindwa kujistiri basi
  5. B

    Riwaya: Barua Kutoka Jela

    Jamani mi ni mgeni humu ila nimevutiwa sana na riwaya unazotupia mkuu niliona ile ya bondia na ss hii asante sana!!
  6. B

    Mjadala wa escrow umeisha: Yafuatayo ndiyo niliyoyagundua

    wala hawajaapa kuwa wezi!!!!
  7. B

    Vituko jikoni, Let us share and have fun

    Angel umeolewa?
  8. B

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    jionee huruma!!! inaonekana huelewi kitu kabisaaa
  9. B

    Riwaya: Bondia

    please malizia.
  10. B

    Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

    hujamjibu ila umeonesha kumdharau sidhani km na wewe unamajibu ya hayo maswali
  11. B

    Usafiri wa treni katikati ya Dar-Uwanja wa Ndege Desemba

    cha maaana umeona ni hizo treni!!
  12. B

    Lowassa agawa Shilingi 200,000/= kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu Taifa (CCM) Mkoani Kagera

    jaribu kuona aibu hata kidogo! niko kagera na ninakaa jirani na mzee ngeze na tuko karibu huu ni mwezi ss hajatoka hapa kijijini nimemonyesha huu uzi kasikitika sana kama unayajuwa machafu ya lowasa andika yale ya kweli sio utunge uongo na kuwahusisha watu wengine ambao hawahusiki!!
  13. B

    Diallo amlipua Lowassa

    Jionee huruma basi!!!!! Yaani uwezo wako wakufikiri umeishia hapo tu?
Back
Top Bottom