Kwahiyo umefurahishwa na hayo matusi Anita aliyoandika ?Mtu aliyekulelea watoto wako wawili umtusi kuwa uchi wake unanuka!!! halafu unaenda kazini unamuachia watoto? nakuapia kilichotokea uganda ni cha mtoto!! Tatizo ni wewe kushindwa kujistiri basi
jaribu kuona aibu hata kidogo! niko kagera na ninakaa jirani na mzee ngeze na tuko karibu huu ni mwezi ss hajatoka hapa kijijini nimemonyesha huu uzi kasikitika sana kama unayajuwa machafu ya lowasa andika yale ya kweli sio utunge uongo na kuwahusisha watu wengine ambao hawahusiki!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.