Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,461
- 185,074
Mkuu naona huruma sana kuwaacha ukizingatia mmoja wao hajui kuwa nina mke cha kushangaza hadi namba zangu kaisha mpa mama yake pamoja na dada yake na wananipigia kila mara sasa nimeishaogopa kumwambia huyo binti nitaanzia wapi sasa nipe mawazo mkuu
Malipo ya dhambi ni umauti, Na njia ya muongo ni fupi. Acha huruma zisizo na msingi. Mwambie ukweli kwamba wewe una mke ndiyo njia ya kuachana. Kafanya hivyo kwa kuwa umemuaminisha kwamba yupo peke yake si ajabu utakuwa umeshamuhaidi utamuoa. Kama unaogopa achana nae kupitia simu.