Nimfanye nini huyu Mdada wa kazi?

Nimfanye nini huyu Mdada wa kazi?

Mkuu utakua ushamtafuna hapa umekuja kuangalia kama ulichofanya ni sahihi au la.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wàdada wa kazi wanajua kukanyaga watoto, na sometimes wanajua kukanyaga hadi waume za watu. Kama huyu imebaki sekunde amkanyage mume wa MTU. Mume Bado yupo njiapanda.
Ha ha ha.
 
Ndugu Mtoa Mada Ama Kweli Unapaswa Kuishi Na H/girl Ka Mwanao, Sasa Kama Inafika Hatua Anaingia Chumbani Kwenu Hiyo Ni Hatari Hata Ww Umeshindwa Malezi, Ushauri Wangu Huctahili Kuwa Na Binti Wa Kazi, Mrudishe Kwao Na Kazi Zote Afanye Mkeo. Hii Itakusaidia Ktk Ndoa Yako.
 
Mkuu utakua ushamtafuna hapa umekuja kuangalia kama ulichofanya ni sahihi au la.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hapana sijalifanya ilo na kwa ushauri wa wadau umu nimeona niachane nae tu
 
Aasante kwa ushauri wako ila tatizo mke wangu nae anafanya kazi, sasa ayo yatakuwa maamuzi magumu sana kwani watoto wanashinda nyumbani na hakuna mtu mwingine pale zaidi ya yeye.
Na isitoshe yeye ndo amewazoea wale watoto tangia wanazaliwa yuko nao, uwamuzi wa kumrudisha kwao ni mgumu sana na wala silifikirii ilo

Ndugu Mtoa Mada Ama Kweli Unapaswa Kuishi Na H/girl Ka Mwanao, Sasa Kama Inafika Hatua Anaingia Chumbani Kwenu Hiyo Ni Hatari Hata Ww Umeshindwa Malezi, Ushauri Wangu Huctahili Kuwa Na Binti Wa Kazi, Mrudishe Kwao Na Kazi Zote Afanye Mkeo. Hii Itakusaidia Ktk Ndoa Yako.
 
du! bint wa kaz anaingia chumban kwako?????? mi najua chumba ni privacy ya mtu mi hata ndugu zang ctak waingie coz ni chumba chng natakiwa kuwa huru nacho. mwambie mkeo amwambie huyo mdada marufuku kuingia chumban af ukimkuta amekaa uchi mtolee maneno ya kashfa mf. paja lenyewe gumu hilo unamuonesha nani? hata km paja lake zur utmvunja moyo. ukiona amezid mtwange makof af unamwambia marufuku kunikali uchi wenyewe unanuka.

Yani we anita kidogo umenifurahisha, ushauri wako nitaufanyia kazi, thank you
 
Yani we anita kidogo umenifurahisha, ushauri wako nitaufanyia kazi, thank you

Kwahiyo umefurahishwa na hayo matusi Anita aliyoandika ?Mtu aliyekulelea watoto wako wawili umtusi kuwa uchi wake unanuka!!! halafu unaenda kazini unamuachia watoto? nakuapia kilichotokea uganda ni cha mtoto!! Tatizo ni wewe kushindwa kujistiri basi
 
Kwan miaka yote hiyo mi4 uliyoishi nae huwa anagegeduliwa na nani? Au maji ya moto tu!? Not fair banah mpe haki yake, si kijakazi wa mkeo huyo(concubine)? Maandiko yenyewe yanaruhusu! (joke)!
 
Mi wanaume wa hivI huwa nachoka kabisa... kweli in ur own house na mkeo yupo huna hata haya?! Mmmh
 
Hapana ilikuwa ghafla sana na hata mie nilishikwa na bumbuazi manake sikutegemea kama nitamkuta kule ndani, hata kulishusha taulo chini pia muda ulikuwa hautoshi, nikaamua kukaa kimya tu
basi ikabidi tu umwachie musichana azipimie sentimita zako selasini hahaaa ameona inafit
 
Mkuu litakuwa kosa kubwa sana kama utatembea na mfanyakazi wako wa ndani.. Mwanaume anaejiheshimu hawezi kujishusha hivyo.. Kama unataka kuchepuka nenda mbali huko ukachepukie.. Ili hata kama mke wako akisikia inakuwa haina nguvu kivilee.. Lakini kutembea na mfanyakazi wa ndani ni kumkosea heshima mke wako.. Mheshimu sana mke wako maana ndo ubavu wako huo..

Tena unatakiwa kuhakikisha huyo mfanyakazi ameondoka hapo nyumbani mara moja..

Naona huu ni ushauri mzuri na una mashiko, sitegemei kama hato ufanyia kazi, umenena vema sana
 
Mh hapo ushauri wa hum kweli utauweza maana kilamtu anayake
 
Ukizubaa tu atabhikiriwa na huyo jirani yako wa upande waagharibi! oooohhhhhh!!!!
 
Back
Top Bottom