Recent content by big-diamond

  1. big-diamond

    Vita ya 3 ya dunia (WW3)

    Kwa wapenda vita, WW3 ina hasara nyingi kwao kuliko faida. Maana hao ndio huwa wanafadhili pande zote
  2. big-diamond

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Tuanzie hapa, wewe ni kabila gani? Ukijibu hili litasaidia mengi saaana... Na asilimia 99 hautajibu hili swali.
  3. big-diamond

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwanza nimshukuru Mungu kwa kupata asali, Pili, siku naenda kuchukua barua niliambiwa haya haya, ila kwa bahati nzuri nilikuwa nimebeba nguo nyingine maana nilikuwa naunganisha safari ya kwenda kuripoti kabisa kituo cha kazi. Hivyo nikasogea pembeni kidogo. Nikapiga mchomeko wangu, nikachkua...
  4. big-diamond

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Shukrani mkuu...hatuna namna..
  5. big-diamond

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Watu wamesota mtaani tangu 2011, tushauza juice za miwa sana, tushaendesha hadi boda, mwisho wa siku ni kukomaa na tunafanya vitu halali watoto waende chooni. Kwa kada zetu nafasi huwa zinatoka kwa manati sana..vuta picha Unaweza kukaa miaka mingapi bila kuina nafasi ya afisa maendeleo. Na...
  6. big-diamond

    Tujikumbushie movies zilizotukuza in 80s, 90s & early 2000s

    Ambiao inaitwa Nam Angels
  7. big-diamond

    Wanaume tusiopenda wanawake wenye makalio makubwa tukutane hapa

    Ana sehemu yake kwenye ufalme wangu
  8. big-diamond

    Wanaume tusiopenda wanawake wenye makalio makubwa tukutane hapa

    Nashangaa watu wanapiga kelele kila siku ooh wezele...oooh tako... Mi nataka vita ya Armagedon, watu mnapiga chumbani utafkili kuna mtu anachinjwa vile.. Sasa hawa vibonge na mimi wapi na wapi, kwanza naishiaga kusema kuwa tako halina kazi zaidi ya kukalia.. Sifa za msingi.. 1. Miguu a)...
  9. big-diamond

    Wanaume tusiopenda wanawake wenye makalio makubwa tukutane hapa

    Bana bana...nyie makalio bakini nayo...sisi wazee tunapenda chuchu.. Boobs bana...nyie nyie... Unajikuta umegeuka ndama...vijana tukiwaambia wanasema tuna vibamia, ila tunajua mbilinge walilonalo vipotable.. roho unaikuta kwenye chaga huko chini inagalagala.. Boobs ndio kila kitu
  10. big-diamond

    Je Mfumo wa Mastercard Tanzania una Tatizo?

    Shukrani mkuu..ninafikiria kuhamia M PESA VISACARD
  11. big-diamond

    Je Mfumo wa Mastercard Tanzania una Tatizo?

    Habari wakuu, tangu jana nimekuwa nikijaribu kufanya malipo kadhaa online kwa kutumia kadi za Mastercard bila mafanikio, Mwanzoni nilikuwa natumia kadi za mitandao ya simu hola, ikabidi nitumie kadi ya benki yangu, lakini nayo hola..japokuwa njia hizi hizi nilikuwa nikizitumia zamani na malipo...
  12. big-diamond

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Zoezi lilifanyika kkoo tangu jumatatu, na wana mpango wa kushtukiza tena
Back
Top Bottom