Je Mfumo wa Mastercard Tanzania una Tatizo?

Je Mfumo wa Mastercard Tanzania una Tatizo?

big-diamond

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2009
Posts
425
Reaction score
559
Habari wakuu, tangu jana nimekuwa nikijaribu kufanya malipo kadhaa online kwa kutumia kadi za Mastercard bila mafanikio,

Mwanzoni nilikuwa natumia kadi za mitandao ya simu hola, ikabidi nitumie kadi ya benki yangu, lakini nayo hola..japokuwa njia hizi hizi nilikuwa nikizitumia zamani na malipo yanaenda fresh, kazi bado hazija expire na zina hela.

Ninachojiuliza ni kuwa hili tatizo ninakutana nalo mimi tu, au tupo wengi.

Most of cards zitaandika error occured, au zitasema card details not correct check again and try later.

Msaada wakuu
 
Nenda bank pia uwaambie watoe ruhusa ya kufanya purchase online coz it's not automatic tu after u get MasterCard itafanya kazi online
 
Nenda bank pia uwaambie watoe ruhusa ya kufanya purchase online coz it's not automatic tu after u get MasterCard itafanya kazi online
Sema awe makini kuattach account personal kwenye mtandao Mara Mia aendelee na hizi virtual card japo NI one way ticket
 
Most of cards zitaandika error occured, au zitasema card details not correct check again and try later.

Msaada wakuu

Ilinitokea hii,Nilikuwa nataka kuilipia online kwa kadi, master card yangu ya CRDB; Ikagoma nikaenda CRDB nikashangaa Teller anasema niwasiliane na supplier wangu namna ya kumlipa, ikanibidi nitengeneze M-PESA master card, hiyo ndo natumia kulipia manunuzi ya mtandaoni.
 
Habari wakuu, tangu jana nimekuwa nikijaribu kufanya malipo kadhaa online kwa kutumia kadi za Mastercard bila mafanikio,

Mwanzoni nilikuwa natumia kadi za mitandao ya simu hola, ikabidi nitumie kadi ya benki yangu, lakini nayo hola..japokuwa njia hizi hizi nilikuwa nikizitumia zamani na malipo yanaenda fresh, kazi bado hazija expire na zina hela.

Ninachojiuliza ni kuwa hili tatizo ninakutana nalo mimi tu, au tupo wengi.

Most of cards zitaandika error occured, au zitasema card details not correct check again and try later.

Msaada wakuu
Airtel walituma msg kulikua na Tatizo la mastercard last week. Sema na wewe pia angalia upande wako, vyema utumie Huduma kama paypal kuondoa matatizo madogo madogo.
 
Habari wakuu, tangu jana nimekuwa nikijaribu kufanya malipo kadhaa online kwa kutumia kadi za Mastercard bila mafanikio,

Mwanzoni nilikuwa natumia kadi za mitandao ya simu hola, ikabidi nitumie kadi ya benki yangu, lakini nayo hola..japokuwa njia hizi hizi nilikuwa nikizitumia zamani na malipo yanaenda fresh, kazi bado hazija expire na zina hela.

Ninachojiuliza ni kuwa hili tatizo ninakutana nalo mimi tu, au tupo wengi.

Most of cards zitaandika error occured, au zitasema card details not correct check again and try later.

Msaada wakuu
Mastercard wabovu mno...

Hamia Mpesa visacard
 
Airtel walituma msg kulikua na Tatizo la mastercard last week. Sema na wewe pia angalia upande wako, vyema utumie Huduma kama paypal kuondoa matatizo madogo madogo.
Shukrani mkuu..ninafikiria kuhamia M PESA VISACARD
 
Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha matatizo ya malipo kwa kutumia kadi za Mastercard. Hapa ni baadhi ya sababu hizo:

1. Kadi yako inaweza kuwa imefikia kiwango cha juu cha matumizi kwa siku/ wiki/ mwezi. Baadhi ya kadi za benki zina kiwango cha juu cha matumizi kwa siku, wiki, au mwezi, na iwapo umefikia kikomo hicho, malipo yako yanaweza kukataliwa.

2. Kadi yako inaweza kuwa imezuiliwa kwa matumizi ya kimataifa. Baadhi ya kadi za benki zinaweza kuwa na kizuizi cha matumizi ya kimataifa, na hivyo kufanya malipo yako ya kimataifa kukataliwa.

3. Taarifa kwenye kadi yako zinaweza kuwa si sahihi. Hii inaweza kutokea kama umetumia taarifa zisizosahihi wakati wa kujaza fomu ya malipo au kama kadi yako imepotea au kuibiwa.

4. Kadi yako inaweza kuwa imefikia muda wake wa kumalizika. Kadi za benki zina muda wa kumalizika, na iwapo kadi yako imefikia muda wake wa kumalizika, malipo yako yanaweza kukataliwa.

Ili kutatua tatizo hili, unaweza kujaribu yafuatayo:

1. Wasiliana na benki yako kwa ajili ya msaada. Benki yako inaweza kukusaidia kujua kama kuna tatizo na kadi yako, kama vile kadi imefikia kiwango cha juu cha matumizi, au kama kuna kizuizi cha matumizi ya kimataifa.

2. Hakikisha taarifa kwenye kadi yako ni sahihi. Hakikisha unatumia taarifa sahihi za kadi wakati wa kujaza fomu ya malipo.

3. Jaribu kufanya malipo tena baada ya muda. Kuna wakati mwingine malipo yanaweza kukataliwa kwa sababu ya matatizo ya mtandao, hivyo jaribu kufanya malipo tena baada ya muda.

4. Tumia kadi nyingine. Iwapo tatizo linaendelea, jaribu kutumia kadi nyingine ya benki ambayo inaweza kuwa na kiwango cha juu cha matumizi au kizuizi cha matumizi ya kimataifa.

Iwapo tatizo linaendelea, wasiliana na mtoa huduma wa malipo au benki yako kwa msaada zaidi.
 
Back
Top Bottom