EngFDM
Member
- Feb 2, 2017
- 13
- 28
Dunia imeshakumbwa na vita nyingi sana, ila kwa mujibu wa historia zipo vita kuu mbili zilizoigawanya dunia kwenye pande mbili, vita zilizosababisha vifo vya mamilioni ya watu, vita ya kwanza ya dunia(WW1) na vita ya pili ya dunia (WW2).
Tangu kuisha kwa vita ya pili ya dunia mnamo mwaka 1945, dunia bado haijapitia vita kubwa iliyoyagawa mataifa ya dunia katika pande mbili, ila kwa yanayoendelea sasa, kuna uwezekano mkubwa wa dunia kuingia katika vita kubwa ambayo inaweza kupelekea kiama (dunia kufika mwisho).
Je nini mtazamo wako wa vita ya tatu ya dunia(WW3), Kipi kitakuwa chanzo? Na dunia itakuwa na sura gani mara baada ya hii vita kuisha??
Tangu kuisha kwa vita ya pili ya dunia mnamo mwaka 1945, dunia bado haijapitia vita kubwa iliyoyagawa mataifa ya dunia katika pande mbili, ila kwa yanayoendelea sasa, kuna uwezekano mkubwa wa dunia kuingia katika vita kubwa ambayo inaweza kupelekea kiama (dunia kufika mwisho).
Je nini mtazamo wako wa vita ya tatu ya dunia(WW3), Kipi kitakuwa chanzo? Na dunia itakuwa na sura gani mara baada ya hii vita kuisha??