Basi itakuwa kuna watoto wakali ile mbaya hapo,jipange tu mzee nawe umiliki ila utaweza kuzuia watoto wazuri kama hao watu wawaachie hivi hivi labda wewe.
unamaanisha kwamba huko ulipo watu awavutiwi na wewe(watu awajakuona) au unachagua sana sasa umeona umebaki peke yako ehee...ulizani wanaume kama nyanya ukifika muda utaenda kununua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.