Umewahi kuibiwa simu iphone 5?

Umewahi kuibiwa simu iphone 5?

Ni takribani mwezi mmoja umepita nilikuja JF kuomba msaada baada ya kuibiwa simu yangu pale Darajani kuelekea mataa ya Changombe. Kwa bahati nzuri nimeipata jana baada ya mtu kuipeleka I-store Mlimani city apate msaada ya kuifungua (Istore n dealers wa Apple product Authorised agents), wahudumu walipoiunganisha na computer zao wakakuta iko locked na ujumbe wangu kwamba simu ile ilikua imeibiwa, atakaeipata anipigie simu kwa number nilizokuwa nimeweka pale, wakanipigia simu wakanieza stori nzima waiomba niende na ID card. Alikua kijana mdogo (sitoweka number yake hapa wala jina lake but kwa maelezo ya wahudumu pale istore, simu hiyo alipewa na kaka yake. Asanteni kwa wale mlionipa moyo kuwa itapatikana na wale waliokuwa wanaitafuta kimya kimya. Kwa ambao walikua hawajaona, hii link ndio niliotoa siku nimeibiwa. https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/608175-zawadi-nono-iphone-5-a.html

Safi sana mkuu, wengi huwa wanapuuzia kuwasha ile option ya "find my iphone". Apple wako strict sana kwenye product zao mpaka wanaboa, kuna simu nilisahau password mpaka leo ni useless, na juhudi za kuwasiliana nao wareset zinagonga mwamba wakati vielelezo vyote vya umiliki vipo!! Halafu iStore sidhani kama ni "authorized" dealer wa apple, ni reseller tu wananunua na kuuza.
 
Safi sana mkuu, wengi huwa wanapuuzia kuwasha ile option ya "find my iphone". Apple wako strict sana kwenye product zao mpaka wanaboa, kuna simu nilisahau password mpaka leo ni useless, na juhudi za kuwasiliana nao wareset zinagonga mwamba wakati vielelezo vyote vya umiliki vipo!! Halafu iStore sidhani kama ni "authorized" dealer wa apple, ni reseller tu wananunua na kuuza.

Yes mkuu, ile option ya muhimu sana japo tunahisi inakula betri. Pia nilisikia kuna ile ukiweka tu hana uwezo hata wa kuizima na ikiisha charge ukiweka charger inarudi ktk mode hiyo hiyo ya kuwa on hivyo ni rahisi kuifuatilia. Wale jamaa sina hakika sana lakini kuna sehemu nilisoma kama ni authorized agents.
Pole kwa hiyo uliosahau password, yes wako strict lakini inasaidia sana.
 
Hiyo inaonyesha huyo dogo alikuwa hajui kama ni ya wizi na ndio maana ameenda moja kwa moja kwa reseller wa apple.

Kwa sasa kuna wadau wengi tu ambao wana unlock iPhone huku mitaani na nyingi zinasemekana kuwa za wizi. Hongera mkuu.
 
hongera kwa kuipata hiyo simu yako itabidi nami niweke rock na unifundishe namna ya kuweka rock kwa simu yangu aina ya lg smartphone

Makubwa!!!! unataka kuweka mwamba kwenye simu?? Duh! kila la heri. Kuweka Lock ni sawa lakini kuweka rock kabisa? vibaka mmekwisha!!!
 
Maneno meeeengi.
Mbona kama Promotion ya kiainaaina vile kwa hao jamaa awa Apple?

No, sio promo Guru, si lazima niseme mimi, jaribu kutafuta information katika mtandao au tafuta mdau yoyote anaetumia hizo product atakuonyesha au kuna watu wameibiwa kama mimi na wakafuatilia wakapata. Ni kitu kinawezekana siku hizi.
 
hongera kwa kuipata hiyo simu yako itabidi nami niweke rock na unifundishe namna ya kuweka rock kwa simu yangu aina ya lg smartphone

Yani we ndugu yangu wa Geita bwana, unakoseaga sana kiswahili is not just once, au mkimbizi nini


Sent from Mchina
 
Hiyo inaonyesha huyo dogo alikuwa hajui kama ni ya wizi na ndio maana ameenda moja kwa moja kwa reseller wa apple.

Kwa sasa kuna wadau wengi tu ambao wana unlock iPhone huku mitaani na nyingi zinasemekana kuwa za wizi. Hongera mkuu.

wengine wanajua kuwa ni ya wizi lakini hawafahamu haya mambo ya security kama yapo, siku anakamatwa mpaka anashangaa kuwa simu imejilocate ilipo,
 
Niwaambie kitu..smrt phones za mikononi ni majanga. Mimi niliibiwa samsung nikaweza kumkamata mwizi wangu nikalipwa.
Kitu kingine hata ukiflash watu wa mitandao ya simu wanatrack kwa imei no. Kwahiyo hata iweje utakamatwa tu, nishashuhudia sana juu ya hili.

Mwisho, kuipata simu yako iliyopotea inategemea ulijiandaaje kabla hujaibiwa. Kama hujajiandaa basi itakua ngumu kuipata
 
bora ya mm ninayekosea na kufundishika kuliko wewe mkurya usiyetaka mabadiliko
sasa hiy sent from mchina na mm niliyesema rock nani mwamba hapo?
muelekeze mtu maana halisi sio kumchimba kiasi hicho kwani atafundishikaje au atajuaje?
watanzania bhana :A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:

Yani we ndugu yangu wa Geita bwana, unakoseaga sana kiswahili is not just once, au mkimbizi nini


Sent from Mchina
 
bora ya mm ninayekosea na kufundishika kuliko wewe mkurya usiyetaka mabadiliko
sasa hiy sent from mchina na mm niliyesema rock nani mwamba hapo?
muelekeze mtu maana halisi sio kumchimba kiasi hicho kwani atafundishikaje au atajuaje?
watanzania bhana :A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465::A S 465:

Haya, poa


Sent from Mchina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom