Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Acha uongo walimu wa vyuo hawahusiki kwenye selection unatupanga tu hapa.

Cha msingi sisi tusubiri tu
 
mi nashindwa kuelewa.....hawa watu wasipoajiri walimu kwa huu mwaka wanajitafutia kaburi ktk uchaguzi.....na wao wanalifahamu hili...halafu ninachoshangaa kwanini serikali hawajatoa tamko lolote kuhusu ajira za walimu kwa mwaka 2015 kama miaka ya nyuma..

Hata bungeni wabunge hawajazungumzia kabisa swala la ajira kwa walimu nashindwa kuelewa kuna kitu gani hapa...
 
mi nashindwa kuelewa.....hawa watu wasipoajiri walimu kwa huu mwaka wanajitafutia kaburi ktk uchaguzi.....na wao wanalifahamu hili...

halafu ninachoshangaa kwanini serikali hawajatoa tamko lolote kuhusu ajira za walimu kwa mwaka 2015 kama miaka ya nyuma..hata bungeni wabunge hawajazungumzia kabisa swala la ajira kwa walimu nashindwa kuelewa kuna kitu gani hapa...

mkuu muda bado watu wanaharaka sn! Ndo mwezi february tu watu wanataka majina yatangazwe, ikitokea yakatangazwa basi ni heri lkn kawaida ni mwezi march na kuripot vituoni ni april sasa sijui watu wanaharaka gani wakati utaratibu unafahamika.
 
Na pia hela ya kujikimu iwe milioni ni karunde I phone 6
 
Ajra watoe tu majina sasa uhakika wa kaz uwepo. Kurpoti ishu nyngne hyo majina kwanza
 
Ni kweli wakishatoa hata wakisema tulipoti mwezi wa kumi tutasubiria tu

Teh teh teh vijana naona mmechakaa yaan life kitaa lmewapiga mbaya lakn mbona mlipokuwa chuo mlikuwa mnapenda mmalze faster kwan mlijua kitaa ni simple eeheeee huk kitaa lazma brain ifanye kaz hv hv tu kitaa utaona ni jehanam ndg walimu
 
Teh teh teh vijana naona mmechakaa yaan life kitaa lmewapiga mbaya lakn mbona mlipokuwa chuo mlikuwa mnapenda mmalze faster kwan mlijua kitaa ni simple eeheeee huk kitaa lazma brain ifanye kaz hv hv tu kitaa utaona ni jehanam ndg walimu
Chuo pia kuna mateso yake ya kulala na madesa. Mtaan napo bila mishe aisee mtu unaomba poo. Hayo majina wayatangaze tu ili mtu ajue km jna lmehusika au vp.
 
Ila wiki ijayo itaeleweka tu. Mbichi na mbivu am sure zitajulkana
 
Ahha! hii kweli jamiifilam kila MTU anakimbwanga chake %100 walim tusub r.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom