Nani asiyejua kuwa KIONGOZI mkuu wa malaika ni MWENYEZI MUNGU, lakini vitabu vyoote vitakatifu vinaelezea kuwa shatani alipojaribu kumpindua Mungu ili achukue nafasi ya UONGOZI mkuu kwa malaika wenzake alishindwa vibaya katika vita kuu huko mbinguni na tangu sikuhiyo alifukuzwa Mbinguni
Leo...
Kigwangala ni mnafiki na mtafuta sifa rahisirahisi
Wakati anang'ang'ania eti kutetea mali za wizara yake pale Njiro Arusha, viwanja ambavyo halmashauri iliviuza kihalali kwa hao anaowataja amefumbia macho kabisa sakata la ZAKIA MEGHJI kuwanyang'anya TTB nyumba hapo Upanga na kumpa mtoto wake wa...
Wakuu lile shirika letu la simu kwa 100% limeanza kufufuka, wana CEO kijana wa takribani 36 years (hypothesis), naona wamejikita kwenye GSM na juzi wamezindua MOBILE MONEY.
Kwakuwa ni shirika la umma kwa 100%, na nimewaona wako active kidogo huko FB.
Tuwape ushauri, tuwakosoe na kuwasaidia...
Naomba kuhamasisha wapenda maendeleo wote wa BAVICHA, BAWACHA, na hata balaza la wazee la CHADEMA kuanzia Jumatatu ijayo tumtoe huyu katibu mkuu aliyefail ndugu Mashinji kwa maandamano makubwa ya kumpinga na kumfungia ofisi.
Mimi ntashughulikia vibali vyote vya maandamano. Katibu mkuu gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.