Tanzania na China: Kwanini tunajadili mkataba mmoja tu kati ya 17 iliyosainiwa?

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,843
1,841
Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.

Turudi kwenye Mada:

Siku ya tarehe 24 March 2013 (Jumapili) Rais Xi Jinping aliwasili nchini Tanzania akitokea Urusi alikofanya ziara ya kwanza baada tu ya kuapishwa kuwa Kiongozi wa China, na kupokelewa kwa shangwe, vifijo, na mbwembwe za kila aina.

Kesho yake tarehe 25 March 2013, katika hafla iliyoandaliwa ikulu ilisainiwa mikataba 17 (KUMI NA SABA) kati ya Tanzania na China. Naomba nikiri kuwa sijawahi kuona mikataba mingi ikisainiwa kwa siku moja kati ya nchi mbili huru kabla ya hapo na hata baada ya hapo.

Katika mikataba hiyo, mmojawapo ulikuwa wa Bandari ya Bagamoyo, na Mingine hatuijui mpaka leo, na nikisema hatuijui namaanisha kwa ngazi ya wananchi walipa kodi wa Tanzania. Wachina watakuwa wanajua.

Wakati awamu ya Tano ikisitisha mkataba wa Bandari ya bagamoyo kwa sababu za masharti ya kinyonyaji hatukuambiwa kama mikataba iliyobaki 16 pia imesitishwa au inaendelea na masharti yake yalikuwa ni yapi.

Leo awamu ya sita imetuambia inarudisha Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo, Pia hatujaambiwa ile mikatabamingine 16 inaendelea au ilisitishwa au imekufa au ipo.

Sasa ndugu zangu watanzania wakati tunajikita kwenye mkataba mmoja, ni vyema tukumbushane ile mingine 16 ilikuwa inahusu nini, utekelezaji wake ulikuaje, masharti yake pia yalikuwa yapi, na je mustakabari wake kwa taifa ni upi.

SUALA HAPA NI, tusijipumbaze na PAPA kwa sababu ndo huvuma baharini, bado kuna NYANGUMI hatumzungumzii.

Kabla ya kujikita katika mkataba mmoja SERIKALI tunaomba kwanza kufahamu ile mingine 16? hapa ndo kwenye Hoja
 
Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.

Turudi kwenye Mada:
Makaburi yanafukuliwaaaaaaaaaaaaa
dah??
Hivi waziri wa mambo ya Nje wakati huo si alikuwa mzee wa KOROSHO
 
MKUU POST IMEKWENDA SHULE ILA WACHANGIAJI WANASEPA KAMA HAWAIONI
Cha muhimu sio kuchangia tu mkuu,
bali ni kuikumbusha jamii masuala muhimu ya nchi hii, ili tujielekeze kwenye hoja za msingi na sio kudandia vitu vidogovidogo tu vya kiasiasa.
 
Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.
Hivi ile issue ya "ntu" kutaka kunyonywa china kwa Biashara ya "Ngada" ni kweli .....na mikataba ya gesi ipoje
 
Na haya mambo hayatokei kwa bahatimbaya tuu.haingiii akilini hiyo 16 isitajwe!,kutaku kuna jambo kubwa sana nyuma ya paziaa
 
Kuna watu wanasemaga mim sina taim na siasa,,,, hawajui kuwa siasa ni maisha na tukiipuuza itaathiri vizazi na vizazi.
 
Na haya mambo hayatokei kwa bahatimbaya tuu.haingiii akilini hiyo 16 isitajwe!,kutaku kuna jambo kubwa sana nyuma ya paziaa
Ndo maani sioni umuhimu wa kujadiri bandari ya Bagamoyo bila kujua mikataba 16 ilikuwa na content ipi na katika sekta zipi
 
Kuna watu wanasemaga mim sina taim na siasa,,,, hawajui kuwa siasa ni maisha na tukiipuuza itaathiri vizazi na vizazi.
nchi za africa , maisha ya wananchi kwa 100% yanategemea siasa...tena siasa za vikundi vya watu na si mifumo ya siasa
 
Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.

Turudi kwenye Mada:

Siku ya tarehe 24 March 2013 (Jumapili) Rais Xi Jinping aliwasili nchini Tanzania akitokea Urusi alikofanya ziara ya kwanza baada tu ya kuapishwa kuwa Kiongozi wa China, na kupokelewa kwa shangwe, vifijo, na mbwembwe za kila aina.

Kesho yake tarehe 25 March 2013, katika hafla iliyoandaliwa ikulu ilisainiwa mikataba 17 (KUMI NA SABA) kati ya Tanzania na China. Naomba nikiri kuwa sijawahi kuona mikataba mingi ikisainiwa kwa siku moja kati ya nchi mbili huru kabla ya hapo na hata baada ya hapo.

Katika mikataba hiyo, mmojawapo ulikuwa wa Bandari ya Bagamoyo, na Mingine hatuijui mpaka leo, na nikisema hatuijui namaanisha kwa ngazi ya wananchi walipa kodi wa Tanzania. Wachina watakuwa wanajua.

Wakati awamu ya Tano ikisitisha mkataba wa Bandari ya bagamoyo kwa sababu za masharti ya kinyonyaji hatukuambiwa kama mikataba iliyobaki 16 pia imesitishwa au inaendelea na masharti yake yalikuwa ni yapi.

Leo awamu ya sita imetuambia inarudisha Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo, Pia hatujaambiwa ile mikatabamingine 16 inaendelea au ilisitishwa au imekufa au ipo.

Sasa ndugu zangu watanzania wakati tunajikita kwenye mkataba mmoja, ni vyema tukumbushane ile mingine 16 ilikuwa inahusu nini, utekelezaji wake ulikuaje, masharti yake pia yalikuwa yapi, na je mustakabari wake kwa taifa ni upi.

SUALA HAPA NI, tusijipumbaze na PAPA kwa sababu ndo huvuma baharini, bado kuna NYANGUMI hatumzungumzii.

Kabla ya kujikita katika mkataba mmoja SERIKALI tunaomba kwanza kufahamu ile mingine 16? hapa ndo kwenye

Wana bodi nikiri ni miaka mingi nimepotea humu. Wale mlionimiss mniwie radhi. Mods pia acha kuunganisha uzi wangu na mingine isiyohusiana na maswala haya nayoyaongelea.

Turudi kwenye Mada:

Siku ya tarehe 24 March 2013 (Jumapili) Rais Xi Jinping aliwasili nchini Tanzania akitokea Urusi alikofanya ziara ya kwanza baada tu ya kuapishwa kuwa Kiongozi wa China, na kupokelewa kwa shangwe, vifijo, na mbwembwe za kila aina.

Kesho yake tarehe 25 March 2013, katika hafla iliyoandaliwa ikulu ilisainiwa mikataba 17 (KUMI NA SABA) kati ya Tanzania na China. Naomba nikiri kuwa sijawahi kuona mikataba mingi ikisainiwa kwa siku moja kati ya nchi mbili huru kabla ya hapo na hata baada ya hapo.

Katika mikataba hiyo, mmojawapo ulikuwa wa Bandari ya Bagamoyo, na Mingine hatuijui mpaka leo, na nikisema hatuijui namaanisha kwa ngazi ya wananchi walipa kodi wa Tanzania. Wachina watakuwa wanajua.

Wakati awamu ya Tano ikisitisha mkataba wa Bandari ya bagamoyo kwa sababu za masharti ya kinyonyaji hatukuambiwa kama mikataba iliyobaki 16 pia imesitishwa au inaendelea na masharti yake yalikuwa ni yapi.

Leo awamu ya sita imetuambia inarudisha Mkataba wa Bandari ya Bagamoyo, Pia hatujaambiwa ile mikatabamingine 16 inaendelea au ilisitishwa au imekufa au ipo.

Sasa ndugu zangu watanzania wakati tunajikita kwenye mkataba mmoja, ni vyema tukumbushane ile mingine 16 ilikuwa inahusu nini, utekelezaji wake ulikuaje, masharti yake pia yalikuwa yapi, na je mustakabari wake kwa taifa ni upi.

SUALA HAPA NI, tusijipumbaze na PAPA kwa sababu ndo huvuma baharini, bado kuna NYANGUMI hatumzungumzii.

Kabla ya kujikita katika mkataba mmoja SERIKALI tunaomba kwanza kufahamu ile mingine 16? hapa ndo kwenye Hoja
Aaah kumbe mkataba ulisainiwa!
 
Watanzania bado sana, hatuna utashi wa kijamii na wala sio wa kisiasa kama inavyosemwa , jamii yetu haijatambui, haina kanuni na miaimamo madhubuti ya kiutamaduni ama maadili ndio maana watu wanajiamini wanaolijua hili na wanalitumia vizuri sana, kuiyumbiaha jamii watakavyo , leo nchi ilikuwa ina maadili hakuna ushoga hakuna mimba shuleni kesho anaingia mwingine anayarudiaha hayo kwa niaba ya jamii na jamii imetulia tu, sasa utasema sisi ni watu wenye utashi, hapa lolote linaweza kuletwa na kiongozi,
 
Back
Top Bottom