BIA BORA
Senior Member
- Oct 21, 2013
- 144
- 164
Naomba kuhamasisha wapenda maendeleo wote wa BAVICHA, BAWACHA, na hata balaza la wazee la CHADEMA kuanzia Jumatatu ijayo tumtoe huyu katibu mkuu aliyefail ndugu Mashinji kwa maandamano makubwa ya kumpinga na kumfungia ofisi.
Mimi ntashughulikia vibali vyote vya maandamano. Katibu mkuu gani kashindwa kila idara, hajui alifanyaro, hana mikakati, haitishi vikao vya kimkakati, hana malengo na HATA UBUNIFU kakosa.
Siku hizi watu wanadhani JOHN MALYA ndo katibu mkuu wa CHADEMA, Mwaka mzima tangu aingie madarakani kwa mbwembwe lakini tathmini inaonyesha anafail vibaya. Hakuna la maana alilofanya, mpaka sasa katoa press release mbili tu.
Hapa ufipa tunatamani bora hata kamanda ben saanane angepewa hiyo nafasi, kama waliona makamanda nguli kama Mnyika, Lissu, Kubenea, salum Mwalimu, hawafai. Bora hata Waitara na Heche.
Makamanda mnaoniunga mkono tumtoe huyu jamaa chama kinatufia mikononi hiki.
Nawasilisha nikiwa ofisi ndogo ya Ufipa hapa Arusha, nimekuja kufuatilia kesi ya KAMANDA MKUU LEMA.
Mimi ntashughulikia vibali vyote vya maandamano. Katibu mkuu gani kashindwa kila idara, hajui alifanyaro, hana mikakati, haitishi vikao vya kimkakati, hana malengo na HATA UBUNIFU kakosa.
Siku hizi watu wanadhani JOHN MALYA ndo katibu mkuu wa CHADEMA, Mwaka mzima tangu aingie madarakani kwa mbwembwe lakini tathmini inaonyesha anafail vibaya. Hakuna la maana alilofanya, mpaka sasa katoa press release mbili tu.
Hapa ufipa tunatamani bora hata kamanda ben saanane angepewa hiyo nafasi, kama waliona makamanda nguli kama Mnyika, Lissu, Kubenea, salum Mwalimu, hawafai. Bora hata Waitara na Heche.
Makamanda mnaoniunga mkono tumtoe huyu jamaa chama kinatufia mikononi hiki.
Nawasilisha nikiwa ofisi ndogo ya Ufipa hapa Arusha, nimekuja kufuatilia kesi ya KAMANDA MKUU LEMA.