Enough is enough, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Mashinji anapwaya

Enough is enough, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Mashinji anapwaya

BIA BORA

Senior Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
144
Reaction score
164
Naomba kuhamasisha wapenda maendeleo wote wa BAVICHA, BAWACHA, na hata balaza la wazee la CHADEMA kuanzia Jumatatu ijayo tumtoe huyu katibu mkuu aliyefail ndugu Mashinji kwa maandamano makubwa ya kumpinga na kumfungia ofisi.

Mimi ntashughulikia vibali vyote vya maandamano. Katibu mkuu gani kashindwa kila idara, hajui alifanyaro, hana mikakati, haitishi vikao vya kimkakati, hana malengo na HATA UBUNIFU kakosa.

Siku hizi watu wanadhani JOHN MALYA ndo katibu mkuu wa CHADEMA, Mwaka mzima tangu aingie madarakani kwa mbwembwe lakini tathmini inaonyesha anafail vibaya. Hakuna la maana alilofanya, mpaka sasa katoa press release mbili tu.

Hapa ufipa tunatamani bora hata kamanda ben saanane angepewa hiyo nafasi, kama waliona makamanda nguli kama Mnyika, Lissu, Kubenea, salum Mwalimu, hawafai. Bora hata Waitara na Heche.

Makamanda mnaoniunga mkono tumtoe huyu jamaa chama kinatufia mikononi hiki.

Nawasilisha nikiwa ofisi ndogo ya Ufipa hapa Arusha, nimekuja kufuatilia kesi ya KAMANDA MKUU LEMA.
 
Mi nadhani tuendelee na habari ya mjini kwa sasa... Donald Trump!!

Siasa tumeambiwa ni mpaka 2020...
 
Mi nadhani tuendelee na habari ya mjini kwa sasa... Donald Trump!!

Siasa tumeambiwa ni mpaka 2020...
hii ya siasa mpaka 2020 hivi ndo wapinzani wameshairidhia eeh
 
Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!

Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!

No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!

Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!
 
Haiwezekani katibu mkuu wa Chadema kumaliza karibu mwaka mmoja bila kuwa na mkutano wake wa hadhara ambao anaiongoza yeye! Hapana haiwezekani! Haiwezekani katibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani kama Chadema kutokushikiliwa katika mahakama yoyote ile nchini kwa madai ya uchochezi mwaka mzima tangu achaguliwe/ apitishwe! Sina maana kwamba aanzishe uchochezi, hapana ila kwa nchi kama Tanzania hii ya Magufuli haiwezekani katibu mkuu wa upinzani kuwa clean for all most one year! No! Big no!

Hivi huyu Dr. Mashinji amewahi kuangalia videos za Slaa kweli? Slaa alipita katikati ya michongoma na alikuwa active kwelikweli! Kule Kagera angekuwa Slaa alishaenda siku nyingiiii na serikali ingekuwa imeshakaa vikao kwa kauli ambazo angekuwa ametoa Slaa!!

No! Mashinji sioni jipya la kisiasa kutoka kwake zaidi ya kuvaa tu suti! We are done! Mashinji gooo..!

Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!

Anakihujumu chama anatoka kanda ya ziwa huyo. Atakuwa anakisaliti chama chini kwa chini , aondolewe awekwe kamanda Lema.
 
Sarakasi zozote za kisiasa zimepigwa marufuku na ...

Wa kulaumiwa sio CHADEMA

Wa kulaumiwa ni sisi kwa kuchagua watu wanaofaa.

Na wametufaa hasa!
Hapana mkuu, Dr Slaa aliangalia katiba inasemaje. Huyu wa sasa anaogopa mtu!
 
Tushawaambia..
Dr. Slaa ni level nyingine...
Ninyi kwa unyumbu wenu mkaenda kudeki barabara huku mkimuita na kumkejeli na kumpa majina kama dr mihogo nk.

Unapoona leo hii mtu kama wewe unaleta thread hapa ya kumlinganisha Slaa na Mashinji, hakika inatia kinyaa.. Ccm wenyewe wanajua Slaa alikuwa mwiba! Aliye akiongea kitu wote wanabaki vinywa wazi wasijue la kufanya!

Ona sasa, utawala wa Magufuli una mapungufu mengi sana ambayo hata mm darasa la saba nayaona wazi kabisa, lakini ninyi mnaishia kumkejeli kwa kunukuu vikauli vya rais katika hituba zake! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mheshimiwa Mbowe tafadhali na kamati kuu oneni kuwa Mashinji mmembeba kama mzigo na anaua chama! Katibu mkuu asiye kiranja mahiri hatufai Chadema! Mashinji aondoke kweli kweli!!
Siyo kauli njema kabisa kwa uhai wa chama.
 
Back
Top Bottom