Recent content by bhuha

  1. B

    Kusudio la kufutwa kwa makampuni Tanzania

    Msajili wa makampuni anakusudia kufuta makampuni zaidi ya 5000 yasiyohuisha taarifa zao kwa njia ya mfumo (Brela ORS) ndani ya siku 30 kutoka tarehe ya tangazo. Kupata orodha ya makampuni yenye kusudio la kufutwa tembele www.brela.go.tz Kwa yeyote mwenye kupata ugumu wa kuhuisha taarifa za...
  2. B

    Kutengenezewa software ya kusimamia shule(school management software)

    eSchool - Huu ni mfumo rahisi sana wa uendeshaji wa shule katika nyanja zote ikiwemo kutoa taarifa za kifedha, matokeo na maendeleo ya wanafunzi kwa wazazi bila kufika shuleni. Kwa maelezo na kupata Demo link Piga simu: 0752091896 au 0712717469
  3. B

    Natafuta sehemu ya kujitolea, kazi au shughuli yeyote ya kunipa experience

    Huyu sio mwaminifu kabisa. Anazidi kujiharibia CV
  4. B

    Natafuta sehemu ya kujitolea, kazi au shughuli yeyote ya kunipa experience

    Send your CV at ahbahanza@gmail.com the I will back to you
  5. B

    Naomba tofauti kati Degree hii kwa UDSM na UDOM

    Umefanya utafiti wa College of Informatics? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. B

    Naomba tofauti kati Degree hii kwa UDSM na UDOM

    Fanya utafiti kwanza. Si UDSM wala UDOM muhimu ni mwanafunzi una mentality gani. Kuna vilaza wingi tunao mtaani toka UDSM hawajui hata mising ya coding na wamesoma Computer Science Sent using Jamii Forums mobile app
  7. B

    Picha: ipad air inauzwa bei cheeee

    Unapatikana wapi? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Free Website Hosting

    Asante kwa huduma hii. Naomba unitumie link kwenye whatsapp no. 0752091896
  9. B

    Uwezo wa bundi kutambua kifo cha mtu

    BUNDI ni aina ya ndege ambaye hula nyama; hufanya mawindo yao wakati wa usiku na kupumzika wakati wa mchana. Pamekuwepo na imani kwa wengi kwamba bundi anaponekana nyumbani kwa mtu ni lazima kuna mtu atakufa katika nyumba hiyo. Hivyo imewapelekea watu wengi kuwa na hofu...
  10. B

    Ushirikina na viumbe kama bundi, nyoka na paka

    Soma hili andiko. *UWEZO WA _BUNDI_ KUTAMBUA KIFO CHA MTU* BUNDI ni aina ya ndege ambaye hula nyama; hufanya mawindo yao wakati wa usiku na kupumzika wakati wa mchana. Pamekuwepo na imani kwa wengi kwamba bundi anaponekana nyumbani kwa mtu ni lazima kuna mtu atakufa katika...
  11. B

    Fundi wa mac anahitajika

    Nitafute kwa 0752091896
  12. B

    Msaada tutani juu ya upatikanaji wa HDD (internal hard disk)

    Kwenye hizo laptop kuna security chip imewekwa ili kuzuia HDD ya kawaida isisome. Ikitolewa unaweza weka hdd yoyote. Hakuna madhara ktk hilo. Nitafute kwa namba 0752091896 kwa msaada zaidi
  13. B

    Nahisi kuna mgao wa umeme Dar, mbona kipindi cha Muhongo mambo shega?

    Hapa majohe-mji mpya. Ukifika usiku lazima tuwashe mishumaa
  14. B

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tatizo hawataki kuwa wazi, hii ndio nchi yetu.
Back
Top Bottom