Jeny faraji
Senior Member
- Jan 20, 2018
- 164
- 34
Habari wana jf natafuta rafiki ambaye amesoma I. T vizuri especially kwenye mambo ya software kuna mambo nataka anielekeze, so kama una ujuzi huo ni pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakuwa tunaelekezeana wap?Habari wana jf natafuta rafiki ambaye amesoma I. T vizuri especially kwenye mambo ya software kuna mambo nataka anielekeze, so kama una ujuzi huo ni pm
kwenye cmTutakuwa tunaelekezeana wap?
Utaelewa kwelkwenye cm
Ntaelewa ndioUtaelewa kwel
Niko hapa eleza tatizo lakoHabari wana jf natafuta rafiki ambaye amesoma I. T vizuri especially kwenye mambo ya software kuna mambo nataka anielekeze, so kama una ujuzi huo ni pm
OkyI'm just joking ,repost post yako kwenye jukwaa la tech& science au jukwaa la elimu utawapata wataalam wengi tu
hapana sio assignment ni mambo tu mengne mengne ila sihitaji kila mtu ayajueKwanini usiweke tu hapa hilo tatizo lako!?
Au ni assignment unataka mteremko!!!
Ni pm nikupe namb tuwasiliane kwa simuNiko hapa eleza tatizo lako
Haya Jeny, kila la heri! Ingekuwa hapa ningesaidia ila huko mafichoni wasubiri waje...hapana sio assignment ni mambo tu mengne mengne ila sihitaji kila mtu ayajue
Ungem pm ww ,we c ndo mwenye shida JenyNi pm nikupe namb tuwasiliane kwa simu
nasubiri pm yakeUngem pm ww ,we c ndo mwenye shida Jeny