Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,079
- 43,565
mkuu nimeangalia tena picha yako juu mbona kama hauna ile bracket ya kuhold hio HDD? ukiieka haiwi loose?ndio mkuu
mkuu nimeangalia tena picha yako juu mbona kama hauna ile bracket ya kuhold hio HDD? ukiieka haiwi loose?ndio mkuu
mkuu nimeangalia tena picha yako juu mbona kama hauna ile bracket ya kuhold hio HDD? ukiieka haiwi loose?
mkuu jaribu HDD nyengine kama utapata kama still inazingua itabidi ujaribu alternative nyengine kamaInakua loose eeh, ila naishikilia na gundi ili nione kama inasoma kwanza then ndio niweke kwenye bracket ya kuhold HDD
mkuu jaribu HDD nyengine kama utapata kama still inazingua itabidi ujaribu alternative nyengine kama
-update bios kuna watu naona online imewasaidia
-jaribu kubadili hio connector ya sata kwa kueka waya mwengine
hahusiki fundi hapo, hizo bios update mwenyewe utazikuta site ya dell kwenye support page ya laptop yako. na waya na HDD za kutestia tumia maduka makubwa ya vifaa vya computer, nenda kama mtejamafundi wetu hawa wasije wakaniumiza asee




katika ubora wakohahusiki fundi hapo, hizo bios update mwenyewe utazikuta site ya dell kwenye support page ya laptop yako. na waya na HDD za kutestia tumia maduka makubwa ya vifaa vya computer, nenda kama mteja
yap unachomoka, si kwenye picha hapo naona kuna gundi. hio ndio wanaita sata cableWaya unaounganisha HDD na pc kumbe unachomoka kama unavochomoka kwenye HDD?