Mkuu,utakuwa unaishi kwa misingi ya kijima kabisa.Kweli JF Imevamiwa.A nonsense comment.
Mleta uzi amekuja na idea nzuri sana,kama una hoja inayoweza kusukuma mbele elimu yetu,ni bora ukatoa.Kama hauna hoja si lazima uzungumze.Mshairi mmoja anasema,namnukuu"...nimekuwa nikijuta sana kwa...