Recent content by Betterhalfay

  1. B

    Yule mke wa kachero wa TANAPA...

    Mkuu umenena,upelelezi wa kesi bado unaendelea.Tutakuwa tunafanya kosa tukiendelea kujadili kwa mazingira ya kumtia hatiani mke wa marehemu.Kuwa mwanasheria haimaanishi kuwa uko perfect(mkuu Ambamba)
  2. B

    Nape Nnauye: Nchi ilifika pagumu, tumuombee Magufuli

    Ulitaraji Mh.Nape afanye nini?Jukumu lake kama Katibu Mwenezi wa chama alitekeleza majukumu yake vile ilivyotakiwa.Yeye ni sawa na msemaji wa chama.Hawezi kusema ambalo halipo au halijaagizwa na viongpzi wake wakuu. Kwa sasa,unamuona anaongea kwa kadri serikali ya awamu ya tano inaposimamia. Si...
  3. B

    Kwa hili sio siri Prof. Maghembe ameonewa sana aombwe radhi

    Mh.Rais Magufuli ametumia akili kubwa kukamilisha uteuzi wake.Amezingatia weledi. Pia,kwa wale waliomwita Prof.Maghembe mzigo,basi safari hii wananaswa kwenye deal zao za meno ya tembo na ujangili kwa ujumla.
  4. B

    Suzuki Carry inauzwa

    Mkuu uwe muwazi,muda mrefu tangu itengenezwe au inunuliwe? Ina matatizo gani yanayokulazimisha kuiuza?
  5. B

    Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

    Hata mimi nashangaa,wanawake wa Kitanzania sijui wakoje.Ukiwapenda watakuzungusha kama hawataki wakati wanataka,ukiwashit utakuta wanapiga vijembe. Wakati wanawake wa Kizungu,wako straight,kama wanakutaka hawazingui wanakuambia moja kwa moja.Kama hawajaelewa,pia wanakuambia NO,tena BIG NO.
  6. B

    Ninaacha Ualimu tangu leo

    Mkuu hongera kwa maamuzi yako kama hayajaongozwa na JAZBA.Naamini maisha ni popote pale. Mkuu hongera kama ulijiandaa kabla ya leo.Naamini siku zitaendelea bila kuganda. Mkuu hongera kama maamuzi yako umeamua na hapa hauhitaji tena ushauri wetu. Anyway,kama unahitaji ushauri wetu,nakushauri...
  7. B

    Kwa anayemjua mariam migomba wa tbc

    Mkuu umenichekesha sana.Umejibu vile alivyouliza.
  8. B

    Tumshauri Dr. Joyce Ndalichako

    Mkuu,utakuwa unaishi kwa misingi ya kijima kabisa.Kweli JF Imevamiwa.A nonsense comment. Mleta uzi amekuja na idea nzuri sana,kama una hoja inayoweza kusukuma mbele elimu yetu,ni bora ukatoa.Kama hauna hoja si lazima uzungumze.Mshairi mmoja anasema,namnukuu"...nimekuwa nikijuta sana kwa...
  9. B

    Mjue mwanamke

    Ladies first...ahsante wa-mama na wa-dada. HESHIMA KWENU...!
  10. B

    Naombeni ushauri, nimepigwa na butwaa

    Mkuu umenena; naomba niongezee nenol 1.Baada ya kufanya ya hapo juu,afunguke kwa bint wa chuo kwa kumwambia ukweli hata kwa njia ya simu. 2.Hakikisha unasimama imara na Maria ili usiwapoteze wote.
  11. B

    Shafii Dauda acha kuchonganisha wasemaji wa Yanga na Simba

    Sijui ni kwa faida ya nani haya yanayofanywa na huyu jamaa.Uanamichezo gani unaotekwa na uchochezi usio na sababu?
  12. B

    Ukaguzi wa vyeti feki Serikalini umeanza rasmi, waanza na Walimu

    Aibu kubwa inaligubika taifa.Wataalamu feki kutokana na vyeti feki.
  13. B

    Ukaguzi wa vyeti feki Serikalini umeanza rasmi, waanza na Walimu

    Aibu kubwa inaligubika taifa.Wataalamu feki kutokana na vyeti feki.
Back
Top Bottom