Recent content by Best_Carmine

  1. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Bado mifumo ya Israel ilifanya kazi kubwa sana na vipi umepata taarifa ujio wa arrows 4,
  2. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwa namna ya kuondoa viongozi, pia ndege zinaweza tumika even for defence bado zina ubora sana kwenye uwanja wa vita ndio maana mataifa yote makubwa yamewekeza pesa huko kwenye ndege za kizazi cha 5 na 6
  3. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sawa ila bado wamefanya mission nyingi sana pale mashariki ya kati huwezi ambazo bila wao Israel huenda isingekuwepo
  4. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwamba Mossad ndio ilienda kuwaokoa au?
  5. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Acha utani kwa missles na drones alizorusha Iran, Hezbollah na wahouthi bila hiyo mifumo Israel si ingekuwaje!!!
  6. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Na kwa vita ya namna hii ballistic missiles hazina umuhimu halafu zile USA kazitengeneza special kwa kubeba vichwa vya nuclear... Kwa vita kama hii ya nchi zilizo mbali na ardhi na strategy zake za kupambana anahitaji ndege ndio maana kaweka nguvu kubwa huko! Kuhusu kukopi ni kawaida kwa...
  7. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna kitengo cha ujasusi duniani kuzidi Mossad au kipo chenye udhaifu mbovu kama cha Iran
  8. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mnamkumbuka raisi wa Iran Ibrahim rais aliyeitishia Israel na akafa kifo cha utata na hadi sasa haijulikani ilikuwaje
  9. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hadi sasa duniani hakuna jeshi kali la anga ambalo limethibitishwa linaweza kupita la Israel, wale wadada ni hatari!!
  10. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ila Israel amemaliza vita kibabe, yaani kushusha kipigo cha dakika 10 tu na hospitali zikajaa wagonjwa hadi madaktari waliokuwa off na likizo wakaambiwa warudi kazini.... Alitaka kuwaonesha Hezbollah nyie ni wadogo zangu tena wa kike 😁
  11. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Yote kwa yote Iron dome na mifumo ya arrows ipongezwe imefanya kazi kubwa na hakuna pingamizi hadi sasa hakuna mifumo bora ya ulinzi kupita hii duniani🤞
  12. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Unahisi USA hana ballistic missiles!!
  13. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hivi umefuatilia polls mbalimbali zilizofanywa inaonyesha asilimia kubwa ya waisraeli wanaunga mkono hii vita, au unahisi wao hawana akili sababu wanajua chanzo cha wao kukosa utulivu ni sababu ya Iran kufadhili hayo makundi yake ya kigaidi. Hata kama umefuatilia kati ya watu waliopokea...
  14. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mwenyewe namkubali aisee, unapogusa waisraeli atakusaka popote pale ulipo... Hadi kipindi zinazushwa kwamba ameuawa nilivuta picha ya Israel mpya bila netanyahu nikaona itakuwa na pengo kubwa nikahis majonzi 🥹
  15. Best_Carmine

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Israel hii ceasefire tumeipokea kinyonge sana, sisi ni kiboko ya magaidi pale middle east asa vita inaposimama na majitaka Khamenei yupo hai najisikia kulia🥹 Hasira zote zinahamia kwa Hezbollah aisee pale Beirut kitanuka maana bwana ake yuko hali mbaya😁
Back
Top Bottom