Recent content by Best_Carmine

  1. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Wanawake punguzeni kuomba sana hela, imekuwa kero

    Ndio maana saiv niko zangu na mabeki tatu, huku ni kuzichapa bure hata bila jero
  2. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Nimepanga nyumba moja hapa Magomeni, vyumba karibu vyote ni mashoga, wazungu hawakauki hapa kuja kupiga miti tunakoelekea ni kubaya sana kama nchi mimi huwa naona mtu ambaye ni shoga hana mchango wowote katika taifa😔
  3. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Watanzania zaidi ya milioni 50 wanakosa Lishe bora UN wabainisha.

    Hiyo ni watu wa mikoani sisi wa dasalama haituhusu tunakulaga utumbo, firigisi na miguu ya kuku vina protini nyingi
  4. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Napeleka mahali

    Okota bikira hiyo kiongozi
  5. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Kondakta wa daladala hana maisha mazuri licha kulala na pesa nzuri

    Sio guarantee utapata kila siku ila nimewahi fanya iyo kazi miezi miwili hivi nasubiri kwenda internship nilikua napiga za za makumbusho/nyuki hela ipo nilitamani hadi internship niiskip kwa mwaka huo sikumbuki kama kuna siku nililala na pungufu ya 20k tshs ila ndio hivyo jiji letu hili pia...
  6. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Oyaa wazee Facebook kumekucha, Nabii Tito kachafukwa

    Huyu ata tukimuwahi haponi mabwashee
  7. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Wataamu wa Laptop

    HP elitebook 870 7 generation
  8. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Naelewa si rahisi ndio maana nikayaita maamuzi magumu, ntaenda hatua kwa hatua ila kitu cha kuajiliwa maisha yangu yote itakuwa failure maishani mwangu serious
  9. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Sema kweli hiki kitu hata me kinaniwazisha sana, kwa mshahara wangu huu hata nikisema nijibane siwezi pata nauli ya kwenda Dubai na kula maisha kwa wiki. Wakati nina wana kibao walioko kwenye business zao mjini sehemu kama Dubai na China wanaingia karibu kila mwezi . Kuna siku nitafanya maamuzi...
  10. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke nipo Njombe umri wake kuanzia 37 hadi 40

    Mtalimbo nchi ngapi ili Binti wa zamani akubless ata kidogo😁
  11. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Tangu nizaliwe hadi sasa, sijawahi kushika wala kuona bidhaa au kifaa chochote toka ISRAEL

    Au we ushawahi tumia bidhaa za Iran yako au Yemen😁
  12. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Tangu nizaliwe hadi sasa, sijawahi kushika wala kuona bidhaa au kifaa chochote toka ISRAEL

    Hata Google, facebook, Dell, na Oracle ni mali za wayahudi wale majamaa huwezi walelewa ila wana akili kichizi ndio maana mmarekani hataki kuwaachia kirahisi ndio maana hadi sasa yupo nao kwenye shida na raha!!
Back
Top Bottom