Kwa namna ya kuondoa viongozi, pia ndege zinaweza tumika even for defence bado zina ubora sana kwenye uwanja wa vita ndio maana mataifa yote makubwa yamewekeza pesa huko kwenye ndege za kizazi cha 5 na 6
Na kwa vita ya namna hii ballistic missiles hazina umuhimu halafu zile USA kazitengeneza special kwa kubeba vichwa vya nuclear... Kwa vita kama hii ya nchi zilizo mbali na ardhi na strategy zake za kupambana anahitaji ndege ndio maana kaweka nguvu kubwa huko!
Kuhusu kukopi ni kawaida kwa...
Ila Israel amemaliza vita kibabe, yaani kushusha kipigo cha dakika 10 tu na hospitali zikajaa wagonjwa hadi madaktari waliokuwa off na likizo wakaambiwa warudi kazini.... Alitaka kuwaonesha Hezbollah nyie ni wadogo zangu tena wa kike 😁
Yote kwa yote Iron dome na mifumo ya arrows ipongezwe imefanya kazi kubwa na hakuna pingamizi hadi sasa hakuna mifumo bora ya ulinzi kupita hii duniani🤞
Hivi umefuatilia polls mbalimbali zilizofanywa inaonyesha asilimia kubwa ya waisraeli wanaunga mkono hii vita, au unahisi wao hawana akili sababu wanajua chanzo cha wao kukosa utulivu ni sababu ya Iran kufadhili hayo makundi yake ya kigaidi. Hata kama umefuatilia kati ya watu waliopokea...
Mwenyewe namkubali aisee, unapogusa waisraeli atakusaka popote pale ulipo... Hadi kipindi zinazushwa kwamba ameuawa nilivuta picha ya Israel mpya bila netanyahu nikaona itakuwa na pengo kubwa nikahis majonzi 🥹
Israel hii ceasefire tumeipokea kinyonge sana, sisi ni kiboko ya magaidi pale middle east asa vita inaposimama na majitaka Khamenei yupo hai najisikia kulia🥹
Hasira zote zinahamia kwa Hezbollah aisee pale Beirut kitanuka maana bwana ake yuko hali mbaya😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.