Kwa namna ya kuondoa viongozi, pia ndege zinaweza tumika even for defence bado zina ubora sana kwenye uwanja wa vita ndio maana mataifa yote makubwa yamewekeza pesa huko kwenye ndege za kizazi cha 5 na 6
Na kwa vita ya namna hii ballistic missiles hazina umuhimu halafu zile USA kazitengeneza special kwa kubeba vichwa vya nuclear... Kwa vita kama hii ya nchi zilizo mbali na ardhi na strategy zake za kupambana anahitaji ndege ndio maana kaweka nguvu kubwa huko!
Kuhusu kukopi ni kawaida kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.