Recent content by Best_Carmine

  1. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa dada na kaka

    Dizasta vina_ uwaridi jeusi🔥
  2. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufukuzwa kazi

    Ni hatari sana, kipindi hicho nilikuwa msabato hata kutumia visungura kujiliwaza sikuweza, solution pekee ilikuwa ni juice na kuchakata mbususu
  3. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Naandika na kufuta ila kwa aina ya elimu yako hadi sasa hivi kulipwa mshahara huo ni ujinga wako mwenyewe!!
  4. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Tuongee bei unipatie hiyo mali 👌
  5. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Ukianza kumiliki mali na pesa, tambua kifo utatembea nacho

    Kwa uandishi ulipaswa kuchomwa zaidi
  6. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Pro Iran mliokubuhu Hormuz imezuiwa na hamsemi kitu😁
  7. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Bado mifumo ya Israel ilifanya kazi kubwa sana na vipi umepata taarifa ujio wa arrows 4,
  8. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwa namna ya kuondoa viongozi, pia ndege zinaweza tumika even for defence bado zina ubora sana kwenye uwanja wa vita ndio maana mataifa yote makubwa yamewekeza pesa huko kwenye ndege za kizazi cha 5 na 6
  9. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sawa ila bado wamefanya mission nyingi sana pale mashariki ya kati huwezi ambazo bila wao Israel huenda isingekuwepo
  10. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwamba Mossad ndio ilienda kuwaokoa au?
  11. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Acha utani kwa missles na drones alizorusha Iran, Hezbollah na wahouthi bila hiyo mifumo Israel si ingekuwaje!!!
  12. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Na kwa vita ya namna hii ballistic missiles hazina umuhimu halafu zile USA kazitengeneza special kwa kubeba vichwa vya nuclear... Kwa vita kama hii ya nchi zilizo mbali na ardhi na strategy zake za kupambana anahitaji ndege ndio maana kaweka nguvu kubwa huko! Kuhusu kukopi ni kawaida kwa...
  13. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna kitengo cha ujasusi duniani kuzidi Mossad au kipo chenye udhaifu mbovu kama cha Iran
  14. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mnamkumbuka raisi wa Iran Ibrahim rais aliyeitishia Israel na akafa kifo cha utata na hadi sasa haijulikani ilikuwaje
  15. Best_Carmine

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hadi sasa duniani hakuna jeshi kali la anga ambalo limethibitishwa linaweza kupita la Israel, wale wadada ni hatari!!
Back
Top Bottom