Habari members!
Leo nimejitokeza humu jamvin japo nami nipate kunena.ni mengi nayasikia,mengine nayasoma humu jamvini na kila m1 ana mtazamo wake kuhusu amani ya nchi yetu.kiukwel 2mefika mbali watanzania,leo hii 2natekana wenyw,2natesesana nusura ya kuuana,2napigana na kuuana kisa siasa na...
mi nadhan wapo sawa cz hwz kuta2a matatz ukiwa mbal nayo "fimbo ya mbali haiui nyoka",acha waendelee kubaki na positions zao hk wakiendelea kupamban na ufisad wa ndg zao kwa ukarb zyd "juen kweli,nayo kwel itawaweka huru"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.