Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
We have to learn to balance between our political wishes and the wishes of the public in general. CCM ni chama cha kisiasa kama Chadema, CUF etc. Kwanini wanataka kuongoza hata umeya kwa kulazimisha? Hivi wana siasa wanajua thamani ya kumwaga damu ya mtu bila utaratibu?