Sekedia ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa bendi ya akudo impakti,victor mkambi ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa twanga pepeta...kwa pamoja ni wapiga vinanda hodari sana nchini,je wewe unadhani ni nani zaidi??
La msingi juu ya hawa jamaa ni kuwa wan mchango mkubwa sana katika kuwainua wasanii wa muziki na maigizo..kwa pesa wanazowapa,kuwalipia kodi za nyumba,bili,magari n.k...kitu ninachowalaumu ni kutumia pesa nyingi kwa mambo yasiyo ya muhimu saana,bora pesa hizo wangetumia kujenga vyoo...
sijui wanavyopata pesa lakini najua wana mafanikio na wanaimbwa kwa sababu hutoa pesa ili biashara zao na shughuli zao zifanikiwe zaidi...na wengi ni vijana mfano PDG Moise Katumbi Tshipoy..president du TP mazembe and well successful business tycoon
PDG..kwa kifaransa..PRESIDENT DIRECTOR GENERAL..walianzia kongo,kukua kwa muziki wa dansi kukawabatiza watu maarufu hasa vijana wenye mafanikio(wamepataje hatujui) jina hilo...wanaimbwa kwa sababu hutoa sapoti kwa wanaowaimba katika kitu ambacho wazaire hukiita MABANGA(unalitaja jina la mtu ana...
Habari zenu wadau?kipindi hiki baada ya kuahirishwa kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu sasa kitakuwa hapo kesho tarehe..16/9/2011 asubuhi saa 1.30 LIVE STAR TV..TUNAOMBENI MAONI YENU,KABLA NA WAKATI WA KIPINDI
Bado wananchi wengi hasa vijijini hawaoni lolote linalofanywa na watu waliowapa dhamana ya kidemokrasia ya kuwaletea maendeleo..na wanadai zipo sababu nyingi zinazosababishwa na hali hii..je,wewe mbunge wako kafanya nini??shiriki katika kipindi hiki kuanzia sasa...HOST Mwanza,B ernard...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.