Bado wananchi wengi hasa vijijini hawaoni lolote linalofanywa na watu waliowapa dhamana ya kidemokrasia ya kuwaletea maendeleo..na wanadai zipo sababu nyingi zinazosababishwa na hali hii..je,wewe mbunge wako kafanya nini??shiriki katika kipindi hiki kuanzia sasa...HOST Mwanza,B ernard James..wageni Dokta charles Kitima makamu mkuu wa chuo SAUT na Bwana Donald Kasongi..toka ACCORD...Dar host ni Tom Chilala..wageni bado ila atakuwepo mbunge na mdau wa maendeleo..saa 1.30 asubuhi LIVE