Sekedia ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa bendi ya akudo impakti,victor mkambi ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa twanga pepeta...kwa pamoja ni wapiga vinanda hodari sana nchini,je wewe unadhani ni nani zaidi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.