Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Mpira wa miguu wako wap tz? Ulevi wa bhangi noma!!!
mzee yusuph wa jahazi vipi?
Hata mimi najishangaa jina langu halipo kwenye hiyo listHii list ni kwa mujibu wa chanzo gani? Mtu pekee kati ya hao unayeweza kupata kipato chake na faida baada ya makato mbalimbali ya kodi ni Hashim tu, hao wengine ni urongo mtupu na hakukna data zozote zinazoweza kuthibitisha vipato vyao!!!! Sijaona "maprodyuza" walioanza kujikusanyia ngawira toka hao uliowabandika hapo hawajaacha kunyonya maziwa ya mama! Na unapoongelea "wasanii" haimaanishi waigizaji na waimbaji tu, kuna watu wengi umewasahau au hauwajui kabisaa!
Hata mimi najishangaa jina langu halipo kwenye hiyo list
Hashim sio msanii,ni mwanamichezo unatakiwa umuweke kwenye orodha ya wanamichezo tajiri tanzania apambane na kina mbwana samata,henry joseph,mrisho ngasa,kina juma kaseja etc,mwanadada jide ndio msanii wa kizazi kipya ukiongea kwa mbali tunakuckiliza anaweza waongoza wenzie kuwa na band,studio,mgahawa,maji yake mwenyewe kibongobongo sio kitu kidogo
Linamilikiwa na Binti moja makini sana anaitwa EMELDA. Sifahamu mengi sana juu yake ila najua she is good na ni mfano wa kuigwa.
Kuna something good coming from huyu binti. Atakuwa na TV shows yake itakayoitwa "The Emelda Show" Hii itakuwa ni show ambayo mlengo wake ni kuwa- inspire na to encourage pamoja na kuwasaidia watu kuhusu jinsi ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kimaisha, so they can have hopes. Walengwa zaidi wa show hii kwa asilimia 80% itawahusu wanawake wenye umri kati ya miaka kati ya 18-35.
So far Emelda bado yupo location na ana-shoot na kampuni ya GRM Production na pia yupo katika mazungumzo na vituo tofauti vya TV. So anytime soon show itaanza katika TV.
Haaaa haaa leo natumia Kiswanglish cha mjini. Ndo lugha ya Wasanii hiyo, au vipi bana, au siyo mchizi wangu!
Yeye ni tajiri wa wanawake.
yaan apambane na wakina ngasa wanaopokea mil.moko kwa mwez?