Jamani bungeni bajeti hiyo yasomwa now,tafadhali tuijadili
Jamani bungeni bajeti hiyo yasomwa now,tafadhali tuijadili
Wengine tuko sigimbi hatuna TV so mtupe ma updates!
Wengine tuko sigimbi hatuna TV so mtupe ma updates!
na kuanzia mwakan bunge halitaoneshwa live runingani
Duuuuu!! kweli Chama Chetu nowma