Well said,,,, GENTAMYCINE umeiwasilisha vizuri. Reference nyingine ni siku yule mama mwenye kesi alivyoitwa na mkulu,,,,,,,, kwa tunaoangalia vitu vingi kwenye hotuba na taarifa za habari kweli inatia ukakasi.
Nakubaliana na wewe,,, bunduki za MP5 hazipo kwenye series za bunduki za kutumia mkanda wa risasi,,,,tenyewe inatumia magazine inayobeba risasi 30,,,, na haina uwezo wa kupiga half a magazine per second
*Vuta picha ww ni mwanachama wa Yanga. Unaipenda Chadema kindakindaki halafu unasali kwa mchungaji Gwajima*
[emoji23][emoji23][emoji23] *My friend Mungu akutie Nguvu*
~benglasis
Satelaiti ndogo za upelelezi
Mwaka 1988, Israel ilirusha satelaiti yake ya kwanza ya upepelezi angani, na kuingia katika kundi la mataifa nane yenye uwezo wa kurusha satelaiti angani.
Hadi sasa nchi hiyo inaendesha zaidi ya satelaiti nane angani na kuipa uwezo mkubwa wa kukabiliana na tishio...
[http://raiamwema]
[https://aka-cdn]
Ni kwa nini Israel ina jeshi la kisasa zaidi kwa teknolojia duniani
FEB 01, 2017by MWANDISHI WETUin MAKALA
[Hébergement Internet, Cloud, et Serveurs dédiés - OVH]
Israel ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mauzo ya silaha duniani, ikiwa inauza silaha...
Sijawahi ona watoto vilaza km hawa wa dar, wizara ya elimu makao makuu yapo dar, maktaba ya taifa ipo dar, rada ya taifa ipo dar, simba na yanga zipo dar, majarida ya nyambari nyangwine yanachapishwa dar, oxford printing press ipo dar, n.k lakini bado wametoa shule *sita bora kwa ubovu*...
Naomba kama kuna walimu humu,,,,mkazanie simu kwenye shule za boarding wanafunzi wasiwe nazo kabisa,,,,,,,,,ili vunja mbavu kama hizi zisije tokea tena siku zijazo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.