Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
- #61
Hahahaaa!!Hwajamaa wanatubania kila sehem,aina mbaya ngoja tuamie kwenye wembe(gongo*)
Sema Mimi situmii pombe yoyote mkuu
Hahahaaa!!Hwajamaa wanatubania kila sehem,aina mbaya ngoja tuamie kwenye wembe(gongo*)
Pale Daha salamALa kaka yako nani?
Pale Daha salamA
Lala unono Bebe sukari
So upo Mkoani??Aah huko pamejaa,mkoan ndio mpango mzima
Unavyomfanyia mwenzako jua kuwa inamuuma sana,tena live....siku ukija fanyiwa wewe ndo mana huwaunaskiaga mtu kajinyonga kisa mapenzi
So upo Mkoani??
Vizuri sana kijan a,hapo inafaa umgeukie mungu na umtumikie then,ili uje uwakomboe waliopoteaHahahaaa!!
Sema Mimi situmii pombe yoyote mkuu
Bora muwe friends and thennaanza kupotzeana taratibuSasa mtu humpend unamwambia kistaarabu anataka tumia mabavu kulazimisha apendwe umfanyie nn sasa akuelewe.
Mfano mtu humpendi na hutaki kuwa nae?unaweza ukamwomba mtoke out??au ukamwomba some staff like zawadi zawadi??Sasa mtu humpend unamwambia kistaarabu anataka tumia mabavu kulazimisha apendwe umfanyie nn sasa akuelewe.
Mfano mtu humpendi na hutaki kuwa nae?unaweza ukamwomba mtoke out??au ukamwomba some staff like zawadi zawadi??
Bora muwe friends and thennaanza kupotzeana taratibu
Haaaa haaaa aisee we jamaa unachekesha sanaYaah cha msingi ni usikubali mtu Fulani akawa ndio chanzo cha furaha yako na hiyo ni kanuni ya tano kati ya zile kumi zinazoniongoza
Daaah we mtu unaakili sanaNilikuwa nampenda mrembo mmoja.
Tathmin yangu ya kila siku ilikuwa inanionyesha kila muda unapoenda ndivyo nizidivyo kumpenda na wivu kuongezeka.
Mimi ni mtu wa tathmini ya mambo niyatendayo. Nikaona hili ni janga ambalo lazima nilichukulie hatua mapema. Kwani tukigombana kidogo nilihisi naumia kuliko yeye. Jambo hili sikupenda nilipuuzie na sikutaka likue.
Hivyo niliamua kumbwaga tuu bila sababu ya maana. Alilia sana lakini ilikuwa kwa ajili ya kulinda furaha yangu ya kesho na kufukuza huzuni yangu ya kesho. Japo niliumia Sana kumuacha bila sababu lakini Leo ninafurahia maisha ya mapenzi kuliko ambavyo ningekuwa nae mpaka Leo then aniache.

Unacheka Mkuu.Haaaa haaaa aisee we jamaa unachekesha sana
Daaah we mtu unaakili sana
Dah mmiliki wa post upo kama mimi.. Nipo tayari kuachana na mtu dakika yoyote![]()