Picha: Ajali basi la New Force Morogoro

Picha: Ajali basi la New Force Morogoro

Ac
Msitokwe na mapovu. Kwa waliowahi kuendesha gari barabara ya moro iringa watakubaliana na mimi kuwa kipindi cha mvua maeneo hayo ya mindu huwa na mvua za ajabu kubwa sana na ukivuka unakuta hakuna mvua. Pia maeneo hayo juzi kati nilipita kuna matengenezo ya bara bara na inaonekana lami iliyowekwa inateleza sana na kuna kona kama mbili hivi, hivyo kama kulikuwa na mvua+speed=utelezi=ajari. Kosa la dereva ni speed
Acha imani za kichawi chawi mkuu nina miaka 17 napita njia hiyo huo ni uongo
 
Hakikisheni mnaoga vzr mkitoka guest cku za safari
 
Msitokwe na mapovu. Kwa waliowahi kuendesha gari barabara ya moro iringa watakubaliana na mimi kuwa kipindi cha mvua maeneo hayo ya mindu huwa na mvua za ajabu kubwa sana na ukivuka unakuta hakuna mvua. Pia maeneo hayo juzi kati nilipita kuna matengenezo ya bara bara na inaonekana lami iliyowekwa inateleza sana na kuna kona kama mbili hivi, hivyo kama kulikuwa na mvua+speed=utelezi=ajari. Kosa la dereva ni speed
Umesema vema hili tatizo linajulikana sana.. Watu wanaosimamia barabara Morogoro wamejisau.. Kazi ya ukarabati haifanyiki ipasavyo..
 
Sijaongelea uchawi, jiografia ya eneo la mindu lina miti mingi ambayo hupelekea mvua kubwa kunyesha.
Miti ipi pale mkuu ni kichaka kile tu na hakuna kona pale kuna matuta 2 moja ni kwenye pale wanapouza visamaki na wanakaaga trafic
 
Msitokwe na mapovu. Kwa waliowahi kuendesha gari barabara ya moro iringa watakubaliana na mimi kuwa kipindi cha mvua maeneo hayo ya mindu huwa na mvua za ajabu kubwa sana na ukivuka unakuta hakuna mvua. Pia maeneo hayo juzi kati nilipita kuna matengenezo ya bara bara na inaonekana lami iliyowekwa inateleza sana na kuna kona kama mbili hivi, hivyo kama kulikuwa na mvua+speed=utelezi=ajari. Kosa la dereva ni speed
Alikuwa speed gani?
 
Back
Top Bottom