Recent content by beast of kandahar

  1. beast of kandahar

    Ipi ni VPN nzuri

    Asante sana mkuu,mambo yako safi
  2. beast of kandahar

    Nina damu group O+, Ufafanuzi kuhusu group hii

    Ni mara yangu ya kwanza kuchangia humu,ila kumeelezwa vizuri sana kuhusu makundi ya damu,mfano wangu mimi binafsi,mimi ni A- na mke wangu ni A+,ni mejaaliwa kupata watoto wawili,pia huwa nachangia damu kwa wenye uhitaji wa damu hasa A-. Sent from mTalk
  3. beast of kandahar

    iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    habari wakuu,natumia iphone 4 shida moja kubwa betri haikai na chaja pia hupata moto sana,kama kuna mtu anajua uvumbuzi wa hili tatizo naomba anijuze!
  4. beast of kandahar

    Ninafarijika na Wabunge wangu Tunduma

    hata mie nafarijika nnapo muona Prof J kama mbunge mteule wa mikumi
  5. beast of kandahar

    I phone 4 battery

    wakuu msaada nna iphone 4 tatizo haikai na chaji kabisa na inapata moto sana ukiwa unatumia net,mwenye kufahamu ufumbuzi wa tatizo hili naomba anielimishe
  6. beast of kandahar

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    ....cha kujiuliza hivyo hivyo alivyo ndivyo watu wanavyompenda,na hivyo hivyo tunamtaka awe Rais wetu,tunahitaji maneno machache vitendo zaidi.
  7. beast of kandahar

    Unaweza kutueleza ni kwanini unaichukia CCM?

    Yaani siwapendi,inabidi uwe na uwendawazimu kuwapenda....
  8. beast of kandahar

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Mkuu Chief na wengine asanteni kwa somo zuri,nimeshashusha hiyo software ya kodi,na vidtube 25,inafanya kazi safi,
  9. beast of kandahar

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Ngoja niwadadisi mafundi ,maana kampuni yetu inazo kama mbili na mzigo inazopiga si haba( kwa maana ya safari),
  10. beast of kandahar

    Kauli ya Mzee Mwandosya hii hapa

    Safi Prof mwandosya ...huu ndio ukomavu wa kisiasa.
  11. beast of kandahar

    Tanzia: Sheikh Omary Alhad wa msikiti wa Kichangani Magomeni, afariki dunia

    Hivi kwanini mpaka mtukanane?,wewe muislam unapo mtukana mkristo unadhani unapata faida gani,wewe mkristo unapo mtukana muislam unapata faida gani. Mnakera humu kwa kutukana,heri mngejibizana wenyewe,mnakwenda watukana viongozi wa dini.
  12. beast of kandahar

    Safari za Rais Jakaya Kikwete tangu aingie madarakani 2005

    Zilivyo nyingi..tumepote hesabu wengine,kulikuwa na uzi humu kuhusu safari za mheshimiwa.
  13. beast of kandahar

    Lumia 640 dual lte

    Kwa specs zake ,linganisha na simu za Samsung,ndio utajua unafuu wa window phone. Bei rahisi na kwa quality.
  14. beast of kandahar

    Mshangao jamiiforums

    Hapana kuna option ya kubadili rangi unayotaka kati ya nyeupe au nyeusi.mie natumia nyeupe.
Back
Top Bottom