Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,215
- 162,797
Usiamini sana kauli za wanasiasa.
Nimependa vyote but istilah ni nini?au nini maana yake
Huyu ni mtu mnyenyekevu, ni mstaarabu na ni mshindani! Watu wa namna hii wanakuwa viongozi wazuri wakipewa nafasi. Lakini sio ndani ya CCM, hata mara moja. Kule hawana dira, utamlinganisha vipi huyu Mzee na Rose au Januari kama kweli unatafuta kiongozi wa taifa!?
Maneno ya hekima sana ametoa Prof Mwandosya kwa kuwashukuru na kuwashauri wale wote waliomshabikia tangu mwanzo hadi mwisho.
Nimependa vyote but istilah ni nini?au nini maana yake