Kuna kijana ana division II CBG,anaomba mwenye mapenz mema amsaidie kumlipia ada mil 1.5 kwa miaka 4.ktk degree ya UKUNGA (BSC.MIDWIFERY NURSING) MWENYE MAPENZ MEMA TAFADHALI!
Samahani kaka kwa sisi tulioshindwa kabisa kwenda chuoni kwa kukosa mkopo,hata tukiapeal wakishatupa ili iweje wakati tuko nyumbani?hawa ni washenzi sana,wamesababisha tushinwe kusajiliwa vyuoni kwa hiyo wametuona watutumie kama vitega uchumi vyao,hilo tangazo nadhani linawahusu waliosajiliwa...
Usiseme hivyo mkubwa,kwani kwa kusema hivyo unamkatisha tamaa mgojwa,na hata kama kachelewa kufikisha taharifa siyo mbaya sana huenda itatusaidia kuliko angekaa kimya.
Kuna wanafunzi wamelipoti vyuo wakati mkopo hawna,sasa ili wasajiliwe ni lazima walipe ada nusu na na accommodation(direct cost) ndiyo wasajiliwe au ukilipa direct cost huku unasubiria mkopo utasajiliwa?
Kuna walikosa mkopo ambao wameripoti vyuoni,sasa naomba kujuzwa wakiwa wanasajiliwa ni lazima walipe nusu ada na direct cost ndiyo wasajiliwe au wakilipa direct cost(accomodation) wanasajiliwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.