Chimemena
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,376
- 451
Mbona sisi huku St. Augustine university of Tanzania utaratibu ndio uko hivyo miaka yote.! Unafafanya kwanza registration then unapata mkopo wako after a week halafu maisha yanaenda kama kawa..! Nipo mwaka wa tatu (Law) hapa SauT na ni mtoto wa mkulima napata loan 100%.