Habari za jumapili.
Ninatamani zaidi kufahamu kama upo uhusiano wa Moja Kwa moja kati ya kuongezeka Kwa utumiaji wa mafuta (petroleum) katika gari na muda uliotumia plug.
Pia muda sahihi wa kubadilisha plug Yani kama Kuna kilometers specific zikifika utahitaji kuchange plugs.
Sent using...
heradius12, Kama uliamua kusafiri na private haikua na haja ya kubeba abiria mkuu!
Haiwezi kua corona virus mkuu! Mtu Hawezi kohoa akakuambukiza na wew ukaonesha dalili muda huohuo. Kuna kitu inaitwa incubation period.
That's psychological problem. Seems like ulikua na hofu since unaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.