Siku za ajabu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 1,369
- 982
MR Kilimanjaro, Kama unahis mafua kanunue dawa za mafua kunywa yani tumia dawa za kawaida kablaya kwenda huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajauje labda yeye ndio anaenda kukamilisha namba twenti?Tanzania nzima wagonjwa ni 19 tu kwa mujibu wa waziri wa Afya, kwa hiyo Tanzania maambukizi ni sawa na hamna kwa hiyo usiwe na hofu kabisa!
wahi hospital mkuu, hospital yoyote unaweza kutibiwa, kumbuka korona haitibiwi kama korona kwamba ina dawa ila wanatibu dalili hizo, pia kunywa maji mengi, matunda(machenza, pineapple),vitamin c kwa wingi, nimesikia pia malimao unaweka kwenye maji ya moto unakunywa asubuhi mchana na jioni,Sawa mkuu ika nitapimwa huu ugonjwa? Na hospitali zote wana oima hii kitu?
Qn
Atang'ang'aniwa na watumishi wa afya,atasakwa na askari hadi akapimwe.Sometimes hofu ya kua na korona inaweza kuletea dalili za korona..
Nenda insta kwenye page ya wizara ya afya tafuta namba zao, piga alafu fwata maelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapime hapo wilayani ulipo, sampuli itasafirishwa hada Dar kwenye maabara kuuDuh sasa nilipo navunga tu naenda duka la dawa kesho asubuhi sijui kama hosoital wanapima au had Muhimbili?
Qn
Sasa si jiamini kama ni corona pia sina uhakika kama hosoital iliyo karibu inapima huu ugonjwa
Qn
Poa nitaenda hospital kwa vipimo.Tanzania nzima wagonjwa ni 19 tu kwa mujibu wa waziri wa Afya, kwa hiyo Tanzania maambukizi ni sawa na hamna kwa hiyo usiwe na hofu kabisa!