Hahaaa, andika bango kubw la kumchafua halaf kaa karibu na unapopita msafara wake hakika utamwona na utaeleza dukuduku lako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka maafikiano yasifikiw il upat sabab nyngne au ulitaka ujulshwe nn kimeafikiwa hadi wao kufuguliwa waendelee na kaz au ulitaka kujua kias walicholpa il ukipangie bajet
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa hoja unajua hizo nyimb zilipgwa kwa muda gan bila kulipiwa na unajua zilpotumika km muito kampuni iliingiza kias gan cha fedha kinyum na sheria
My take #Mwenye chake muungwana#
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nilivyoelewa hapa bei ya mafuta inaweza kuongezwa shilingi kadhaa il kila atakayeongza mafuta atakuwa kalpa road license indirect hvyo hata ambao huwa wanaenda kununua katka madum kwa ajil ya boats watalpia hii kodi indirectly. Naomba kuwasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.