Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,332
- 6,613
Dada niliyetoa wazo sio mimiKhantwe sasa huo ni utoto. Ucomment halafu ujipe like? Hapa wanasema ni Great thinkers not kids corner. Usinitupie madongo.


mimi nimeongezea tu nilipoona boss Max anashangaa suala la kujipa like mwenyewe ndio nikatoa mfano kuwa Facebook tunajipa si kwamba lilikuwa wazo languMsamehe tu mama. Kwani shida ikwapi!!Mimi bado naomba maboresho ya ignore/block button... Nataka mtu ukimuignore yaani iwe jumla hata harufu yake usiisikie yaani hata akikuquote notification isije
Kumbe mimi nilisoma ile yakwako nikaona hapa siyo vizuri. Pole na hasante.Dada niliyetoa wazo sio mimimimi nimeongezea tu nilipoona boss Max anashangaa suala la kujipa like mwenyewe ndio nikatoa mfano kuwa Facebook tunajipa si kwamba lilikuwa wazo langu
Both mkuu email na AppKwa email au kwa app notifications?
Siku CHACHE zijazo 🙂
Hata mara 2 kwa mwaka sio mbaya kuliko hali ilivyo sasa..Leo ujiite Daudi de classic na kesho ujiite “Daudi de Classy” na keshokutwa ujiite “Mtambaa Panya” wiki mbili baadae ujiite “Mrembo wa Kigogo” mwezi mmoja baadae ujiite “Nyongo Mkalia Ini” baada ya miezi 2 ujiita “Mkapa Mpya” miezi 3 baadae ujiite “Cha Upele” etc?
Hapana, kwa JF tunajaribu kudhibiti hili!
Tunaomba button ya dislikeWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa kuamkia tarehe 26/03/2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
I see!Usisahau kuweka kitufe cha voice note maana wengine wavivu sana kuandika
Si unaacha tu sio lazima uandikeUsisahau kuweka kitufe cha voice note maana wengine wavivu sana kuandika
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hadithi watuwekee jukwaa lake