Mwana FA & AY acheni utapeli, hamna miziki yenye thamani ya Bilioni 2.1, Tigo gomeni

ubarinolutu

JF-Expert Member
Oct 22, 2012
1,964
3,895
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakishirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati miliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani si kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msanii mkubwa ni mmoja tu Diamond japo na yeye hana wimbo wa bil 2.1.

Msitegemee mistakes za watu kutajirika. Fanyeni muziki uwalipe kama Diamond. Huo utapeli mnaotaka kufanya Mungu anawaona.

Thanks in Advance.
 
We unajua kupitia nyimbo yao kampuni ya Tigo imeingiza bei gani??

Kudaiwa wadaiwe Tigo wewe roho inakuuma vipi?
Kama Tigo watagoma kulipa sheria zipo wataburuzwa mahakamani, huwezi kutumia ubunifu wa mtu mwingine ili ujipatie fedha kirahisi, wacha waisome namba kwanza wanatuibia sana kila tunapoweka salio kwenye simu.
 
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakiahirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati maliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani c kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msaanii mkubwa ni mmoja tu Diamond jspo na yeye ana wimbo wa bil 2.1, msitegemee mistaki za watu kutajirika, fanyeni mziki uwalipe kama diamond huo utapeli mnaotaka kufanya mungu anawaona.

Thanks in Advance
pambana na hali yako jombaa hapa mjini utakalia kusukuma kete na kunywa kahawa na kashata wakati wenzako wanainua mijengo na kusukuma mikoko ya maana
 
Nimesikia ati Mwana FA na AY wakiahirikiana na wakili wa kujitegemea Albert Msando wanapaswa kulipwa bilioni mbili kwa ajili ya fidia ya kutumia nyimbo za wasanii wao bila ruhusa yao.

Sikatai kweli ni kosa kisheria kwa maana hizo nyimbo zina hati maliki na mali ya wasanii tajwa, kinachonishangaza ni kiasi cha fedha wanachodai yaani bilioni 2.1 ambacho siyo realistic hata kidogo, kwa maana Ay na FA hawana nyimbo zenye thamani hiyo, na ni wasanii wakubwa wa zamani c kwa sasa.

Wito wangu wajaribu kudai kitu ambacho kina ukweli sio kutaja figure tu ili mradi kwani wote tunajua msaanii mkubwa ni mmoja tu Diamond jspo na yeye ana wimbo wa bil 2.1, msitegemee mistaki za watu kutajirika, fanyeni mziki uwalipe kama diamond huo utapeli mnaotaka kufanya mungu anawaona.

Thanks in Advance
Nenda na weww studio ukaimbe kama unaona kazi ya mziki ni rahisi.

Kama mahakama ilivyoamua
 
Wanasheria waliposhindwa kesi mara ya kwanza wangewaita jamaa wajadili hili swala nje ya mahakama ili wapewe discount. Na katika settlement hiyo wangeishia kulipa hata bilioni moja wakaokoa moja.

Haya makampuni yana tabia za kutumia kazi za watu bure bure.
Hata mimi miaka ya 2005 kampuni ya voda waliwahi kutumia proposal zangu na hawakunilipa hata mia. Kwa kuwa sikuwa na hati miliki nazo nilishindwa kuwafungulia mashitaka nikabaki tu naumia rohoni...
 
4977d303c93491931f32f0bd73bd2c8a.jpg


%
 
Unajua ni mara ngapi hizo nyimbo zilitumiwa na tigo?
Unajua ni wateja wangapi walizitumia kama caller tunes na kwa muda gani?
Unajua ni wateja wangapi walipakua hizo nyimbo kupitia mtandao wa tigo na walikuwa charged sh ngapi kupata huduma hizo zote kiujumla?
Na unajua Ambwene na Mwijuma wamemlipa bei gani Lawyer kupata msaada wa kisheria?

Eti unaongelea value ya nyimbo badala ya matumizi ya hizo nyimbo!!
 
Back
Top Bottom