Recent content by Bani Israel

  1. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Msishangae wakuu wa majeshi wakapanga safari kukimbia kesi

    unqkumbuka kesi ya mbowe?? alikutana na kibatala akaomba maji ya kunywa umesahau??
  2. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Aina 15 Za Simu Zinazo Ongoza Kwa Mauzo Kariakoo Mbaka Sasa

    simu zinazoongoza kwa mauzo ni tecno na infinix kisha samsung A series za bei chee
  3. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Msiogope, Majanga ya NEPAL hayawezi kutokea Tanzania

    jografia ya nepal sio poa kule sehemu kubwa ya ardhi ni miinuko milima mirefu mabonde kumbuka mlima everest ambao ndio moima mrefu sana duniani safu ile inapatikana nepal kule sio poa
  4. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    yanga yanusurika kupigwa miti makiri kiri
  5. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    uto wanacheza kama wana mabusha
  6. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mwanasheria au mwanasiasa msomi kabisa halafu anasusia uchaguzi au anakiuka sheria?

    mfano uchaguz wa serikali za mitaa alotunga kanuni za uchaguzi na kuzisimamia ni mchengerwa ambae ni mkwe wa mtawala unataka kutuaminisha nini sisi?
  7. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    wakati unasimamia kucha hukuwaza hayp?? sasa bora wewe mimi wazazi hawataki kunipa binti yao na kashajifungua na wanataka matunzo daily 10k huduma ya bint na kichanga.
  8. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    dili la tosin to tottenham nalo lilifeli?? dah
  9. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Shada,sigara kubwa,sigara bwege,cha arusha,Majani/mjani dawa
  10. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    acha kuota ndoto za mchana chelsea sio soko lile uyo dogo hauzwi hata mkiweza kukubaliwa kuuziwa hela yakumnunua parmer ineos labda wauze magari hela yote waweke kwenye kibubu miaka mitatu. au mumsubiri amalize mkataba 2033
  11. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Unatafuta nyimbo za Kiafrika (Kongo)? Karibu upatiwe

    alooo
  12. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania UTABIRI: Ndejembi kuwa Rais wa awamu ya 7 kabla ya 2030

    ww sio mtabiri ila kwa maelezo ya bi mkubwa inaonekana hivyo alisema wana project ya miaka 15 wasingependa kuona inaishia njiani lazima kuwe na watu wao wakuendeleza kile walichokianzisha kwaiyo watu wenyewe ndo kina deo.
  13. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    kwann man city wanachelewesha mpunga wetu na wana hela nyingi sana hawa wantaka tufanye bishara deadline tukose mbadala?
  14. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    nyie hampo siriaz saiv ndio mnalalamika mabeki si mngekuja chelsea tulikuwa na mabeki kibao kina disasi tosin na badiashile si tungewauzia bei nzuri kabisa wanacheza popote hao
Back
Top Bottom