punguza umbea inawezekana hata wewe uyo mzee wako sio baba yako wa damu na watu waliamua kukausha ukapata huduma pengine hadi kusomeshwa leo unaleta kimbelembele kwenye maisha ya watu ujue ni jinsi gani maumbea yako yatakavyoaribu saikolojia ya uyo mtoto acha mtoto atambe kwa baba yake dada yako...
yani ulivyojieleza ni kama wachaga walikukosea sana yani wachaga tuwe wachwi kuliko kabila lako?? hii nchi uchawi ukiwa kwa mchaga wafipa wasukuma waha wakinga waseme nini? wachaga tuna asili yetu matambiko ni kuomba neema na sio kulogana wewe umeshajijengengea imani potofu kwaiyo chichote...
mkopo wa 15000 wakanipa 9000 nikaona hawa wananichezea akili baada ya kunipa tu nikaenda kureset permission zote na ku disallow zote kisha nikafuta app hii ilifanya hata washindwe tafuta watu wa nje mana access zote nilizifunga. walisumbua wakachoka.
Mo haumii simba inapokosa vikonbe sababu ya ubahili wake huyu ndio angepewa timu tungeshapptezwa mazima mpira unahitaji sana pesa na mo analijua hilo ila analeta hekaya nyingi sana na kuigawa simba kwa kiasi kikubwa sana.
bado ni ndugu mm watoto wa kaka yangu nawalea kama wangu angalia GSM wa katoro yule bint hajamzaa ni wakaka yake angalia mambo yale na pale kwenye urithi lazima kampa kidogo.
uyu tayari alikuta miradi imesimama toka kwa wazee wake huko hakuna benk ya kukupa bil 80 kirahisi bila kukuelewa u aenda kuitumia vipi mana hata dhamana yake sijui ni ya aina gani.
mimi demu alikuja hadi sehemu nilipomuambia nipo kumbe mbinu ya ki mateka wamemtanguliza mbele nyuma yupo kaka yake na mzee wake kumbe mimi sikuwa pale nilikuwa mbali nawazoom
nilipoona mchezo nikaweka kindege afu nikasepa zangu chap kufika mbele nikatoa nikawaambia huo mchezo wa kitoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.