Recent content by Bani Israel

  1. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    uko sawa mkuu pedro anajitos sana sijui why watu wanataka auzwe sasa aje nani?
  2. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Utamtambuaje mvuta bhangi? I mean mtumiaji wa ndumu

    mtani mzee wa kilinge kwenu si mnalima sana gomba sasa hii ya vya arusha imekuwaje?
  3. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kumwambia ukweli huyu shemeji yangu kuwa mtoto sio wake bila mgogoro?

    punguza umbea inawezekana hata wewe uyo mzee wako sio baba yako wa damu na watu waliamua kukausha ukapata huduma pengine hadi kusomeshwa leo unaleta kimbelembele kwenye maisha ya watu ujue ni jinsi gani maumbea yako yatakavyoaribu saikolojia ya uyo mtoto acha mtoto atambe kwa baba yake dada yako...
  4. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Yeriko Nyerere aendelea kusota rumande

    yeriko si ni mwanachama wa chama cha ubwabwa huyu??
  5. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    yani ulivyojieleza ni kama wachaga walikukosea sana yani wachaga tuwe wachwi kuliko kabila lako?? hii nchi uchawi ukiwa kwa mchaga wafipa wasukuma waha wakinga waseme nini? wachaga tuna asili yetu matambiko ni kuomba neema na sio kulogana wewe umeshajijengengea imani potofu kwaiyo chichote...
  6. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kopa hela kwenye app za online, ilikuwaje?

    mkopo wa 15000 wakanipa 9000 nikaona hawa wananichezea akili baada ya kunipa tu nikaenda kureset permission zote na ku disallow zote kisha nikafuta app hii ilifanya hata washindwe tafuta watu wa nje mana access zote nilizifunga. walisumbua wakachoka.
  7. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Mwijaku ana matatizo yake ya Kibinadamu kama tuliyonayo wengine wote, ila kwa alichokiposti Instagram Kwake dakika 47 zilizozipa nakubaliana nae 100%

    Mo haumii simba inapokosa vikonbe sababu ya ubahili wake huyu ndio angepewa timu tungeshapptezwa mazima mpira unahitaji sana pesa na mo analijua hilo ila analeta hekaya nyingi sana na kuigawa simba kwa kiasi kikubwa sana.
  8. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    bado ni ndugu mm watoto wa kaka yangu nawalea kama wangu angalia GSM wa katoro yule bint hajamzaa ni wakaka yake angalia mambo yale na pale kwenye urithi lazima kampa kidogo.
  9. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Kabila la Wameru ni watu wabinafsi na wakorofi sana

    hivi akyoo ni mmeru? niliwahi chomwa uma ya tumbo sina hamu.
  10. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Je kijijini kwenu kuna hawa watu wanaomba kama vijiji vya kwetu?

    wewe unampa muhindi alafu unatuambia sisi tusiogope kuwapa wabantu wa bushi? vijiji vingi ukionyesha unacho wanakuona unaringa wanaweza hata kukumaliza iyo ni kweli.
  11. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna bus zilizokua na Aura kama Sauli Luxury 2018-2024 Mikoa ya nyanda za Juu kusini?

    katarama amechukua aura ya sauli angalia vizuri
  12. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Supplier wangu Muhindi aliekuwa na deni la Bilioni 80 kalimaliza, Nimekaa na kutafakari hawa watu wapo serious na biashara, bado tuna safari ndefu

    uyu tayari alikuta miradi imesimama toka kwa wazee wake huko hakuna benk ya kukupa bil 80 kirahisi bila kukuelewa u aenda kuitumia vipi mana hata dhamana yake sijui ni ya aina gani.
  13. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    iyo ni kawaida kiuhinadamu hata wakristo huchangia misiba ya waislamu na waislamu huchangia wakristo.
  14. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa naisha leo, nimechat na Baba mkwe bila kujua

    mimi demu alikuja hadi sehemu nilipomuambia nipo kumbe mbinu ya ki mateka wamemtanguliza mbele nyuma yupo kaka yake na mzee wake kumbe mimi sikuwa pale nilikuwa mbali nawazoom nilipoona mchezo nikaweka kindege afu nikasepa zangu chap kufika mbele nikatoa nikawaambia huo mchezo wa kitoto...
Back
Top Bottom