shida ya hii timu ni huko juu bana tu kubwa wanatuokotea makocha wadogo ambao hawana misimamo makocha wanaotafuta CV sisi leo tunatoka kumiliki makocha wakubwa tunaishia kwa kina rose mary kweli? utashangaa kocha atakaekuja nae ni hivi hivi hii timu shida ni misimamo ya hao wamarekani hii kitu...
ngurue aliezaliwa leo hakuhusika na wale waliopewa pepo uzuri hata wale ngurue baada ya kupewa pepo unadhani mgurue wengine katika mji ule waliachwa kuliwa?
ngurue wapo kabla ya yesu na mtume walikuwepo kabla ya mwanadamu kuumbwa ikiwa mungu aliumba ngurue akamtunuku nyama tamu afu ndio aseme...
shimge air compressor aloo mashine 3 zipo store 😃😃 edon moja nayo sombwa na maji ikalala kwenye topes kwisha juma 4 now nasaka hela nivute ya 5 mana hakuna namna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.