Recent content by Bani Israel

  1. Bani Israel

    Jeshi la Israel lasambaza video ya kuendelea kutukumbusha waliweza kumbamiza Ayatollah na viongozi wengine 40 ndani ya sekunde 40 tu

    marekani anaunda F35A F35B F35C lakini israel ana F35i adr hizi za myahudi zimechokonolewa kuna mifumo imewekwa tofaut na waliyoikuta.
  2. Bani Israel

    Ni machine gani au kifaa kilichokuwa kikikuingizia kipato, lakini sasa kimekumbwa na changamoto?

    shimge air compressor aloo mashine 3 zipo store 😃😃 edon moja nayo sombwa na maji ikalala kwenye topes kwisha juma 4 now nasaka hela nivute ya 5 mana hakuna namna
  3. Bani Israel

    Huyu ni mdudu ambae simfurahii hata kidogo. Dunia ingekua sehemu salama sana bila kuwepo huyu mdudu

    kabla sijafungua nilijua tu ni mbu mdudu mshenzi sana leo nimeanza dozi ya mseto anasababisha nakosa mbususu kesho kizembe sana.
  4. Bani Israel

    Waliotuletea dini wote wanakula sikukuu kesho ila sasa nchi yangu 🥲

    kuna lile tako la kuku lina mafuta mafuta sana aloo wanakuekea ftari 2000 tu
  5. Bani Israel

    Waliotuletea dini wote wanakula sikukuu kesho ila sasa nchi yangu 🥲

    swala lilianza siku ya kufunga muft wenu muft ubwabwa akakataa na kusogeza mbele ilipaswa tuanze kufunga trh 18 siku ya jumatano ya majivu.
  6. Bani Israel

    Waliotuletea dini wote wanakula sikukuu kesho ila sasa nchi yangu 🥲

    keko hii ina mambo sana mtani tuache tuu kuna ftari ya kuku ila ni shingo na vinyeo vya kuku 😂😂
  7. Bani Israel

    Picha: Kuna rafiki yangu anatafuna Aloevera kama bigG

    figo zinaangamia hapo hakuna sifa ya kula huo mmea kupitiliza
  8. Bani Israel

    Waliotuletea dini wote wanakula sikukuu kesho ila sasa nchi yangu 🥲

    Iran kwa washia pamoja na vita vyao kesho wanaangusha ngamia MashaAllah nako Saudia chimbuko la sunni nako kesho ni shughuli yani middle east yote kesho ni bata batani Inashangaza tanzania imekuwa kawaida kusherekea sikukuu hizi siku ambazo ni tofauti na tunaowaangalia kama ndio chimbuko la...
  9. Bani Israel

    Mabraza wa Kariakoo na dili zao

    mwanamke wa kimachame kashamuosha huyu wamachame ni hatari sana linapokuja swala la mali.
  10. Bani Israel

    Tetesi: CCM wameanza kuchukua pikipiki zao

    baskeli wamesamehe ila pikipiki wana kazi nazo 2030
  11. Bani Israel

    Tetesi: CCM wameanza kuchukua pikipiki zao

    Kuna msako wa kimya kimya ambao CCM wakishirikiana na jeshi la polisi wameanza kuzifuatilia na kuchukua pikipiki zao ambazo waligawa wakati wa kampeni almaarufu kama pikipiki za mama, Kwa taarifa za kawaida pikipiki hizo zilifungwa Tracker Gps ambapo wafuatiliaji imewawia vigumu kuzikamata kwa...
  12. Bani Israel

    Wafuasi na Mashabiki wa Iran, wanajiliwaza kwa picha na Video feki za AI

    sasa arzebaijan imeikosea nini iran? iran inajitengenzea maadui bure tu
  13. Bani Israel

    IRAN watangaza kuanza kutumia MAKOMBORA mapya kabisa

    mkija phase ya PRAY FOR IRAN tutawakumbusha.
Back
Top Bottom