Recent content by Bani Israel

  1. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania KERO KKPESA: Benki Kuu ifuatilie hii kampuni ya Mkopo

    ukiwaogopa wanakupa hofu ya kijinga sana. mimi baada ya kunipa tu hela nikafuta premission zote za app yao kisha nikaifutilia mbali..
  2. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Car4Sale 2021 TATA NEXON ILINUNULIWA 0KM IKO SOKONI

    walitaka ifanane na range rover masikini
  3. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Dawa ya Kuvuta Wateja kwenye Biashara Mpya

    sio kijana bali mdada tena mzuri
  4. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Kiufundi, Kimkakati na Kisaikolojia nautoa kwa Simba Sports Club yangu na naomba uzingatiwe kwa umakini na umuhimu wake mkubwa sana

    simba timu yangu ila sina hamu nayo tena imekuwa timu ya kipuuzi inayoendeshwa na wapuuzi watupu.
  5. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Mada ya kitimoto: Nyama inayajadiliwa na kutawaka mijadala mingi duniani

    😂😂😂 😂😂😂 hasira za mkizi
  6. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    shida ya hii timu ni huko juu bana tu kubwa wanatuokotea makocha wadogo ambao hawana misimamo makocha wanaotafuta CV sisi leo tunatoka kumiliki makocha wakubwa tunaishia kwa kina rose mary kweli? utashangaa kocha atakaekuja nae ni hivi hivi hii timu shida ni misimamo ya hao wamarekani hii kitu...
  7. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie makando kando ya emirates mna cha kujitetea? njoeni tuwauzie garnacho kiungo kisheti kazi ya madueke si mmeiona?
  8. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Mada ya kitimoto: Nyama inayajadiliwa na kutawaka mijadala mingi duniani

    ngurue aliezaliwa leo hakuhusika na wale waliopewa pepo uzuri hata wale ngurue baada ya kupewa pepo unadhani mgurue wengine katika mji ule waliachwa kuliwa? ngurue wapo kabla ya yesu na mtume walikuwepo kabla ya mwanadamu kuumbwa ikiwa mungu aliumba ngurue akamtunuku nyama tamu afu ndio aseme...
  9. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Shoga haliwezi kubadilikaa kamwe

    niliwahi mchapa makofi mke wangu sababu ya clip za anko T hawa madem zetu sometimes ni wapuuzi sana.
  10. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    kuna haja ya maandamano timu hii iuzwe tu kwammiliki anaejua mpira chelsea sio day care ya kukuza watoto wapumbavu
  11. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kuwa Nchi kwa sasa haipo kwenye mikono salama

    wewe ni chawa uliekubuhu
  12. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kuwa Nchi kwa sasa haipo kwenye mikono salama

    kumbe kuna wajinga wengi kama wewe daah
  13. Bani Israel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni mambo gani ya kuzingatia/kuepuka kwa mama mjamzito?

    uzi mzuri ila umeuborongea mwenyewe sasa umejishauri ili iweje 🤣
  14. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel lasambaza video ya kuendelea kutukumbusha waliweza kumbamiza Ayatollah na viongozi wengine 40 ndani ya sekunde 40 tu

    marekani anaunda F35A F35B F35C lakini israel ana F35i adr hizi za myahudi zimechokonolewa kuna mifumo imewekwa tofaut na waliyoikuta.
  15. Bani Israel

    JamiiForums Tanzania Ni machine gani au kifaa kilichokuwa kikikuingizia kipato, lakini sasa kimekumbwa na changamoto?

    shimge air compressor aloo mashine 3 zipo store 😃😃 edon moja nayo sombwa na maji ikalala kwenye topes kwisha juma 4 now nasaka hela nivute ya 5 mana hakuna namna
Back
Top Bottom