Mimi natamani kuijua title ya movie moja makini CIA na nchi moja ya kiasia kama Thailand,Cambodia au Vietnam.Kuna jamaa anataka kuipindua nchi yake kijeshi kumbe mmoja wa rafiki zake wageni toka US ni CIA operative kwa jina la MICHAEL.Mwishoni adui mkuu na staa wanapigana kwenye maji pembeni ya...
Fork lift unaweza kuisoma chuo cha taifa cha usafirishaji NIT Dar na Chuo cha Bandari Kurasini Dar kuna forklift,front end loader,winch,crane nk.Kwa taarifa zaidi ingia Google visearch vyuo husika hapo juu.
Majuzi wakati natizama movie ya SNOWDEN nilisikitika sana niliposikia maneno "SELF TAUGHT na NO HIGH SCHOOL DIPLOMA" wakati wa interview ya kumrecruit awe CIA Analyst.
Tunapaswa kujitizama upya kama Taifa.
Mbona lawama za kukatwa Eddie 2015 anaangushiwa JK?Kwani CC ya CCM haikuwepo?First rule of leadership inasema "When you are a leader everything is your fault".Hakuna safari ya gari bila dereva na ni dereva anaefikisha watu salama sio gari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.