kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,425
- 7,211
Nchini Marekani na ulaya kumezuka wimbi kufuta majina ya wabaguzi na waliyokua vinara wa biashara ya utumwa kwenye kumbukumbuku za heshima kama minara au sanamu zao kuvunjwa au kung'olewa.
Baadhi ya mambo yanayotudhalilisha waafrika ni kushindwa kujikubali kutokana na makovu ya utumwa wa mwili na roho.
Miaka mingi baada ya kujitawala unakuta kuna majina ya wakoloni mashuhuri yalipewa sehemu mashuhuri za kijiografia ya nchi zetu bado tumeyaacha kutumika.
Binafsi ningependekeza nchi za Tanzania, Kenya na Uganda tufanye muafaka haraka kubadili jina la Ziwa Victoria na kuliita ziwa nyanza. Hilo ndio jina la asili la ziwa hilo.
Kule Nairobi nimefurahi baada ya kujua kumbe sanamu la malkia huyo wa enzi ya uingereza kusaka makoloni lililokua kwenye bustani moja wananchi walilibomolea mbali miaka mitatu iliyopita
Baadhi ya mambo yanayotudhalilisha waafrika ni kushindwa kujikubali kutokana na makovu ya utumwa wa mwili na roho.
Miaka mingi baada ya kujitawala unakuta kuna majina ya wakoloni mashuhuri yalipewa sehemu mashuhuri za kijiografia ya nchi zetu bado tumeyaacha kutumika.
Binafsi ningependekeza nchi za Tanzania, Kenya na Uganda tufanye muafaka haraka kubadili jina la Ziwa Victoria na kuliita ziwa nyanza. Hilo ndio jina la asili la ziwa hilo.
Kule Nairobi nimefurahi baada ya kujua kumbe sanamu la malkia huyo wa enzi ya uingereza kusaka makoloni lililokua kwenye bustani moja wananchi walilibomolea mbali miaka mitatu iliyopita