Rais Museveni hachoshi kumsikiliza

Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Mke hajajifunza kutoka kwa comrade Mugabe?
 
At 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,

At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Luteni Kanali mstaafu Afande Jakaya Kikwete at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu

wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
Hahahah
 
At 26 in 1969 Colonel Muammar Ghadafi anapindua Serikal ya Libya na kuwa Rais ,

At 28 Dr Hassy Kitine tayari ni waziri, Hayati Mzee Mungai chini ya Umri wako tayari Waziri, Luteni Kanali mstaafu Afande Jakaya Kikwete at 28 tayar ni Mwandishi wa Minutes za vikao vya Kijeshi kati ya Amiri Jeshi na ma Generali lakin wote hawakuwa wakijisifu

wewe 28 unajiona zaid ya Christopher Columbus kwa ki comment chako cha aya moja na kuanza kutudhalilisha Wakubwa zako
At 22 yrs of ageDr Salim Ahmed Salim tayari ni Balozi wa Tanzania MISRI
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,
M7 ni intellectual kiasi chake.
Anasoma vitabu. Anajua tulikotoka na wapi Dunia inaelekea.

Sasa linganisha na kajamaa ketu. Hasomi vitabu. Ujuaji mwingi. Nimeshangaa naye anatoa nukuu siku hizi. Anaamini hakuna asichojua. Ni aina ya akina Idi Amin.

Mwl Nyerere hadi kufikiwa na umauti, bado aliamini kuna mengi ya kujifunza.
 
Ametufundisha wengi kuwa usizalishe bidhaa nyingi kama watu wako hawatakuwa na uwezo wa kuvinunua na wala hujui ziada utamuuzia nani.

Unaweza kumsikiliza mwanzo mwisho kwakuwa kila sentence yake ina maana,


Tunashukuru ila usimlinganishe na mwingine
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
28 mdogo, mi nalijua ilo na nina 22
 
Ongezea hapo at 26 Salim Ahmed Salim was the youngest ambassador! Kwa umri wangu, kazi nazofanya kwaajili ya huduma ya nchi hii na ww mzee mpumbavu havilingani!
Kama unamfahamu huyo ni Mzee haikufaa kumtukana kuwa ni mpumbavu. Huo si ustaarabu
 
He's a Historian, Philosopher King, Economist, Educator, Articulator, really Pan African and an Intellectual ( Rational Thinker ). He's one of my favorite modern African Leader together with the people like President Paul Kagame of Rwanda, Late Mwalimu Nyerere ( Tanzania ), Late Patrice Lumumba ( DRC formerly Zaire ), Late Samora Machel ( Mozambique ), Late Nelson Mandela ( South Africa ), Late Kwame Nkurumah ( Ghana ), Late Robert Mugabe ( Zimbabwe ) and Kenneth Kaunda ( Zambia ) To my opinion His Excellence President Yoweri Kaguta Museveni deserves the Title of Father of all African Nations. I mostly admire him and I wish him all the best in his Presidency.
Wow!Father of all African Nations tena!Above all Other well known legends like Mwl Nyerere and the likes, are you serious?
 
Hili jambo in mzigo mzito sana ila watu hawajui
Yeye aliyekaa miaka 40 na sisi tunaobadilisha marais kila baada ya miaka 10 kuna tofauti yoyote ya kiuchumi, kisiasa na kijamii?

Sisi tunao mzigo wa kugharamia marais wastaafu Mwinyi, mkapa, kikwete, Karume, Salmini, nk
 
He's a Historian, Philosopher King, Economist, Educator, Articulator, really Pan African and an Intellectual ( Rational Thinker ). He's one of my favorite modern African Leader together with the people like President Paul Kagame of Rwanda, Late Mwalimu Nyerere ( Tanzania ), Late Patrice Lumumba ( DRC formerly Zaire ), Late Samora Machel ( Mozambique ), Late Nelson Mandela ( South Africa ), Late Kwame Nkurumah ( Ghana ), Late Robert Mugabe ( Zimbabwe ) and Kenneth Kaunda ( Zambia ) To my opinion His Excellence President Yoweri Kaguta Museveni deserves the Title of Father of all African Nations. I mostly admire him and I wish him all the best in his Presidency.
Umesahau kuweka title ya despotic ruler of Uganda of all times
 
M7 ni intellectual kiasi chake.
Anasoma vitabu. Anajua tulikotoka na wapi Dunia inaelekea.

Sasa linganisha na kajamaa ketu. Hasomi vitabu. Ujuaji mwingi. Nimeshangaa naye anatoa nukuu siku hizi. Anaamini hakuna asichojua. Ni aina ya akina Idi Amin.

Mwl Nyerere hadi kufikiwa na umauti, bado aliamini kuna mengi ya kujifunza.
Basi hapo unajiona una akili kweli!
Yani Museven ni bora kwako kisa Magufuli? Nyie bora muendelee kupigwa tu
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
sasa 28 unajiona Mdogo? Utajiona mkubwa ukiwa na mingapi?
 
Huyu Yuko madarakani miaka 10 ya mwinyi, 10 ya mkapa, 10 ya JK, 4 ya huyu njuka..hawezi kubwata na kufoka, huyu anatoa lecture, rumors has it alishataka kuachia madaraka Ila mkewe ndiye anaforce, hata mwanawe kainerugaba kumpandisha cheo kua Luteni Jenerali ni mbinu tu kwamba maluteni wengi huweza kupindua nchi, Sasa akichoka mwanawe anaweza 'akampindua' ili familia iendelee kushika hatamu! Watu smart tulijua Hilo kitaaambo, imagine am 28 na mijitu mizima Haina hata akili ya kubaini Hilo..
Kwaio unataka kusema wewe una akili sana au?
 
Nikumuona tu PRESSURE inapanda. Huyu ni Mugabe mwingine in the making, hivi ukiacha Munagangwa huko Harare nani mwingine analia kuondoka kwa Babu yetu?
 
Kila kitu tumewazidi labda kwenye kusugua visimi wanaongoza
Siyo kusugua, wao ni hodari wa kuvuta visimi, utakuta wanawake wa kiganda wanavisimi zaidi ya dole gumba kimeziba nanii. Kuachia mpaka aanze kutoa maji
 
Back
Top Bottom