Ukitaka kuwa mtumwa wa wazungu fuata kila wanachosema wakati wao hawafanyi...jamaa yao anatoa siri zao wa weak leaks wanamtafuta daily atoke kwenye embassy ya Ecuador
Ulilala vibaya,km sio mto ulioweka shingoni basi shingo ilikaa vbya ukakosa kupumua vzr,ndio maana uliposhtuka tu ukaeweza kupumua vzr,ndoto mbaya huja pale circulation ya damu au hewa inapopungua,ubongo hukuletea ndoto ushtuke ili ulale vzr
Mungu awasaidie..daah niliona Aljazeera mambo yanayo endelea kongo ni majanga..treni mbovu watu mpka wanakaliana na ina safiri mda wa siku nane toka kinshasa mpka lubumbashi.
...usalama wa watu ni mdogo mapori mengi,barabara ya lami kwao bado ni msamiati..yaani daah..
Afrika weee Mungu atusaidie tu
Sa akishasema lolote ndio maisha yako yatabadilika?,we fanya yako ukitaka comfort tafuta kwa wazazi wako..ukikosa kwa machz wako...ukiona kila kitu unategema rais akufanyie nenda kenya akakufanyie baadae upime aliyokufanyia kule na huku wapi raha
Wa israel na waarabu wamelala mda huu...hata hawana habari kua watanzania wako wanabishama kwaajr yao...Kuleni bata jamani..mkikosa kazi mkalale..jamaaa hata hawawajui..msije kupigana bure......Karibuni Dodoma mji mkuu wetu tuyajenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.