mtela naona unatupa karata yako ya mwisho kabla hujaondoka na kutoweka ktk sura ya siasa ya tz maana kwangu mie kelele zako hizo ni kama mwangwi,umekwisha potea basi punzika wee maana siasa zimekushinda.we ndo msaliti no.1 na si cdm chama sikuzote hakiwezi kumsaliti indivial person.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.