Hata mimi namtafuta
Hata Mimi nilipata kusikia eti AK a.k. a. (Jangiri ) au Dentist wa Tembo ni mmoja wa wamiliki wa JF. Inasemekana yale meno ni mradi wa maghamba kwa maandalizi ya 2015, na ndiyo maana serikali yao inahaha kupata kibali cha kuyauza !Wamiiliki wa JF ni Mwigulu Nchemba, Nape nnauye, Abrahamani kinana, Asharose Migiro, Mzee wa kilimo cha nyanya (Mangula) na yule mwenye sura ya kazi (Wasira).
Hata mimi namtafuta
Sina hata haja ya kumjua,kwa utamu ninaoupata humu asije akawa gamba bure nikaanza kushangaa.
Hata mimi namtafuta
Waziri wa sayansi na technologia aliwahi kusema mmiliki wa jamii forum hafahamiki na alikiri kuwa mtandao huu umesajiliwa nje ya nchi je mmiliki wa mtandao huu ni nanii au kinanani