Recent content by BAILO

  1. B

    TANZIA Padre Ireneus Mbahulira amelala usingizi wa umauti akipatiwa matibabu Hospitali ya Mugana

    R.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sana
  2. B

    Tatizo la YAMAHA AG 200 kumwaga oil

    aisee na mm ninayo hiyo mpya kabisa ila inamiss sana na zilikuja tatu zote zina miss na ni mpya
  3. B

    Huduma ya kwanza kwa mtu aliyeng'atwa na nyoka

    usije ukamfunga et unazuia sumu isisambae
  4. B

    Tukue: Kumjadili Jokate hivi ni ubaguzi na sio sifa

    mwachen dad apige kazi
  5. B

    Manyara: Msafara wa Waziri Kigwangalla wapata ajali. Waziri ajeruhiwa na Mmoja afariki dunia

    sio mtoto n twiga aliyekua anakatisha barabara
  6. B

    Mashine ya kisasa ya kukamua alizeti

    naomba kujua ujazo wa filter yake
  7. B

    Lowassa na Mbowe Wamesaliti Wakazi wa Dar; Wajitenga Mbali na Waathirika wa Bomoa Bomoa

    kila kitu lowasa lowasa xxa aongee yeye kama nan au unatafuta kibarua kule monduli
  8. B

    Mabadiliko: Juice za Ikulu

    dalili ya roho mbya sasa akienda ikulu wew inakuuma nn mbn n nyumba kama nyumba nyingine na inapaswa kufikiwa na wageni kama wanavyofika katika nyumba nyingine anywe asinywe wew haikuhusu
  9. B

    Ningekuwa mwandishi ningeandaa "documentary" yenye kuonyesha athari za bomoabomoa

    wew ndo minus kabsa wakat wanajenga hayo mabanda mbona hawakuwaambia mpaka watu wamekuwa na uhakika wa makazi yao ndo wabomolewe c bure itakua unalala bar wew hata uchungu wa kujenga hujui
  10. B

    Makosa makubwa matatu yanayofanywa na serikali ya Dr. Joseph Pombe Magufuli

    wanaounga mkono zoezi hili la bomoa bomoa c bure huwa wanalala bar kwanza kabisa uchungu wa kujenga nyumba hawaujui haiwezekan mtu mmempa kiwanja na hati na amejenga mnamtazama tu baadae ndo mumuambie mahal hpo co sahihi aende wapi sasa kuwen na utu achen mabavu
  11. B

    Nini hasa kinamsibu Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye?

    Wew hata majiran hawakutambui sembuse sumaye anayetambulika tanzania nzma heb ingarishe ya kwako kwanz
Back
Top Bottom