R.I.P Padre lakin me nashangaa kwa baadhi ya watu kuunganisha matukio ya vifo na corona kila anayekufa now kila mtu ni corona hili jambo sio zuri na linaleta taharuki sana
dalili ya roho mbya sasa akienda ikulu wew inakuuma nn mbn n nyumba kama nyumba nyingine na inapaswa kufikiwa na wageni kama wanavyofika katika nyumba nyingine anywe asinywe wew haikuhusu
wew ndo minus kabsa wakat wanajenga hayo mabanda mbona hawakuwaambia mpaka watu wamekuwa na uhakika wa makazi yao ndo wabomolewe c bure itakua unalala bar wew hata uchungu wa kujenga hujui
wanaounga mkono zoezi hili la bomoa bomoa c bure huwa wanalala bar kwanza kabisa uchungu wa kujenga nyumba hawaujui haiwezekan mtu mmempa kiwanja na hati na amejenga mnamtazama tu baadae ndo mumuambie mahal hpo co sahihi aende wapi sasa kuwen na utu achen mabavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.