Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,323
- 152,136
Raisi aliyeko Ikulu hawezi kujua ni namna gani zoezi hili la bomoabomoa linavyoathiri maisha ya watu kwenye familia hizi za waathirika wa zoezi hili.
Ni bahati mbaya sana mpaka sasa hata waziri wa ardhi ameshindwa kumshauri boss wake wasitishe zoezi hili japo kwa miaka miwili ili kutoa nafasi ya wananchi kuandaa makazi mbadala na sidhani kama kuna msaidizi yeyote wa raisi alietoa ushauri wa aina hii.
Binafsi ningekuwa waziri mwenye dhamana na zoezi hili, ningemshauri mh.Raisi asitishe zoezi hili walau kwa muda huo na kama angekataa basi ningejiuzulu uwaziri kuliko kuwa sehemu ya bomoabomoa hii.
Hivyo basi,kwasababu yote haya yamekwama,vyombo vya habari ni mhimili pekee unaoweza kufikisha ujumbe kwa mh.Raisi kupitia documentary maalumu itakayorushw katika vituo ya Television nchini na pengine picha hizo zinaweza kumuonyesha mh.Raisi uhalisia wa shida na mateso wanachi wake wanayopata na pengine angeguswa na kubadili msimamo wake.
Naamini kuna mengi hatuyajui juu ya athari za zoezi hili, ila kupitia kalamu na kamera zenu, tunaweza kujua mengi kuhusu maisha ya waathirika wa operation hii.
Waandishi timizeni wajibu wenu maamuzi muwaachie wenye mamlaka hata mwenyezi mungu atawabariki.
Ni bahati mbaya sana mpaka sasa hata waziri wa ardhi ameshindwa kumshauri boss wake wasitishe zoezi hili japo kwa miaka miwili ili kutoa nafasi ya wananchi kuandaa makazi mbadala na sidhani kama kuna msaidizi yeyote wa raisi alietoa ushauri wa aina hii.
Binafsi ningekuwa waziri mwenye dhamana na zoezi hili, ningemshauri mh.Raisi asitishe zoezi hili walau kwa muda huo na kama angekataa basi ningejiuzulu uwaziri kuliko kuwa sehemu ya bomoabomoa hii.
Hivyo basi,kwasababu yote haya yamekwama,vyombo vya habari ni mhimili pekee unaoweza kufikisha ujumbe kwa mh.Raisi kupitia documentary maalumu itakayorushw katika vituo ya Television nchini na pengine picha hizo zinaweza kumuonyesha mh.Raisi uhalisia wa shida na mateso wanachi wake wanayopata na pengine angeguswa na kubadili msimamo wake.
Naamini kuna mengi hatuyajui juu ya athari za zoezi hili, ila kupitia kalamu na kamera zenu, tunaweza kujua mengi kuhusu maisha ya waathirika wa operation hii.
Waandishi timizeni wajibu wenu maamuzi muwaachie wenye mamlaka hata mwenyezi mungu atawabariki.
Last edited: